Recent content by kivike Tito I

  1. K

    JK, Kwa nini muadilifu LOWASSA asiwe naibu Waziri Mkuu!

    jumakidogo unalazaid kuliko hata hiyo elfu ishilin unayolipwa,mim nakufananisha na Viongoz wa Dini ambao wanatumia Madhabahu na Misikiti kumsafisha huyu bwana,kwa kurubuniwa na michango midogo midogo ambayo chanzo chake ni rushwa,Naona wamesahau kuwa BWANA WA MABWA HAPOKEI RUSHWA,mlaaniwe
  2. K

    Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

    pole sana mwakyembe,but tumuombee apone
  3. K

    Wazee wa DSM na JK

    nimeamin ukizeeka uwezo wa kufikiri unarud nyuma,sitak kabisa kukumbuka aibu ya jana,nahis walikuwa wanashangilia wasichokijua
  4. K

    Bungeni: Ngonjera yaendelea! Wabunge waendeleza mipasho dhidi ya CHADEMA (Nov 17)

    wanasema viongoz wa chadema wameweka ndugu zao. naona wamesahau kuwa zakia kabadilishana mtoto na kiwete kwa viti maalum,afu kawa mke wa 4
  5. K

    CHADEMA waigeni CUF

    Mtoa mada KAOGE,mana inaonekana unakurupuka,cdm ever
  6. K

    Kafulila na Zitto wanaivuruga NCCR - Moses Machali

    manchali nchama halal wa NCCR,anaijua NCCR nje ndani,anayoyaongea yanaukwel 100%,coz manchali sio mlopokaji,na anataswira nzuri mbele ya wanajamii,Afu kwanin kila siku awe ZITO tu,
  7. K

    Hatujathubutu, hatujaweza, hatusongi mbele!

    ni kwel mwana jamii mwenzangu,na kilichonikela n wasanii ambao nilikuwa nawaheshim kam prof j kuimba miaka 50 ya uhuru
Back
Top Bottom