Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Mheshimiwa katika moja ya mambo ambayo ulipatia sana baada ya kuingia ikulu ni kumteua EL kuwa PM. Jamaa anapiga kazi zaidi ya punda ni kuzunguuka nchi kwa ajili ya kuwaamsha waliolala kama farasi.
Nadhani hoja zake kuhusu RICHMOND zimeeleweka vyema ndo maana hakuna jeuri yeyote aliyesimama kupingana naye. Kwa kuwa aliacha u PM akiwa bado anafaa. Mpe unaibu Waziri Mkuu ili amboost mwana wa mkulima.
Miaka ya nyuma kidogo nadhani unakumbuka. Kuna mtu alikuwa anaitwa Mrema. Aliwahi kupewa nafasi hiyo na mambo yakawa murua kabisa.
Nadhani huu ni ushauri mzuri zaidi ya ule wa kutia saini sheria ya muswada wa mchakato wa katiba mpya wenye mapungufu.
Nadhani hoja zake kuhusu RICHMOND zimeeleweka vyema ndo maana hakuna jeuri yeyote aliyesimama kupingana naye. Kwa kuwa aliacha u PM akiwa bado anafaa. Mpe unaibu Waziri Mkuu ili amboost mwana wa mkulima.
Miaka ya nyuma kidogo nadhani unakumbuka. Kuna mtu alikuwa anaitwa Mrema. Aliwahi kupewa nafasi hiyo na mambo yakawa murua kabisa.
Nadhani huu ni ushauri mzuri zaidi ya ule wa kutia saini sheria ya muswada wa mchakato wa katiba mpya wenye mapungufu.