ni kweli kabisa..pia Luna kikundi cha watu zaidi ya 200 wapo masaki dar hostel za muhimbili..wanachokifanya no
1. Kuwapigia simu watu katika majimbo tofauti na kuwashawishi kumpigia kura CCM
2. Kuwaambia watu mambo yasiyo ya kweli yaan majitaka kuhusu mgombea ubunge wa jimbo husika mf jana...
Katiba inamruhusu kila MTU kuwa na haki ya kujieleza popote pole ili mradi havunji sheria au kuingilia Uhuru wa MTU mwingine...
Kwa hiyo hakuna mipaka popote pale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.