CCM wametushika pabaya

CCM wametushika pabaya

makamba ni ukoo uleule wa kifisadi. je hayo makamba ameyajua leo? mbona makamba huyuhuyu alitumia nafasi yake ya katibu mkuu wa chama kumbeba mtoto wake january bila kuwa na sifa kule bumbuli? ni huyuhuyu mzee makamba watoto wake wanabebwabebwa tu akiwemo na yule binti ? makamba jana alikuwa anatimiza kazi yake ya kumwombea mtoto wake uwaziri na sio kingine. watanzania hatudanganyiki kamwe....
 
Ukawa mtanyooka sana hamna namna japo mnajifariji.
 
makamba ni ukoo uleule wa kifisadi. je hayo makamba ameyajua leo? mbona makamba huyuhuyu alitumia nafasi yake ya katibu mkuu wa chama kumbeba mtoto wake january bila kuwa na sifa kule bumbuli? ni huyuhuyu mzee makamba watoto wake wanabebwabebwa tu akiwemo na yule binti ? makamba jana alikuwa anatimiza kazi yake ya kumwombea mtoto wake uwaziri na sio kingine. watanzania hatudanganyiki kamwe....

Unaweza kumuozesha mtoto wako kwa jambazi sugu ikiwa unajua kuwa ni jambazi sugu na muuwaji?
 
Ni upuuzi tu, kama mashamba wanayo kihalali kuna ubaya gani? yani uvivu wako wa kutafuta mali ndio na wengine wasitafute? Mbna mnakuwa bado na akili za kizamani, mnaleta mambo yale ya tangu enzi za nyerere kuwa tuwasubiri wengine kutafuta maisha bora, yani hata kama wenyewe bado wamelala tuwasubiri hadi waamke? Hata uhuru kenyata alipigwa madongo kama hayo kwamba familia yao inamiliki ardh kubwa lakin mwishon ndie alieibuka mshindi

Napata shida na uwezo wako wa kufikiri najua unatumia mihemko zaidi kuliko kufikirisha ubongo wako kwa kina
 
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.

Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!

Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!

Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!

Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!

Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!

Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!

Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.

Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.

Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.



Ccm itatoka madarakan jua hvyo
 
Kura yangu kwa FISADI Lowasa kwani kuna shida jamani....hao watawapata nyie vifuata upepo ambao mpaka sasa hujaamua kura yako unampa nani
 
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.

Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!

Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!

Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!

Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!

Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!

Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!

Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.

Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.

Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.

Unajifanya mwana UKAWA wakati hujawahi ongea maneno ya ku spport Lowassa au UKAWA kama thread zako zilivyo hapo chini. Acha unafiki.
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania/918329-tuko-serious-lowassa-awe-rais.html
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania/922171-ingekuwa-marekani-lowassa-keshakosa-urais.html
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania/919717-ukawa-dodoma-hampati-kitu.html
 
lowassa ndio rais wetu mwaka huu kama hamtaki mkale malimao kuna kila dalili watu wanataka mabadiliko.
 
Kwani ulikuwa ujuii... Uko nchi ipi.. Na aliyekutuma mwambiee Kenyatta alinyang'anya wananchi ardhi but ni rais wa Ken... Mbona utajii kulazimsha gec iendee kwa wajomba...
 
Napata shida na uwezo wako wa kufikiri najua unatumia mihemko zaidi kuliko kufikirisha ubongo wako kwa kina

Lazima upate shida we mwanamama, mtu upo kwenye siku zako unategemea nn
 
Tatizo hawa nyumbu wao wanamkimbilia tu Lowassa hawajui kua anawatumia kama daraja tu

Ni vema kujifunza kwa waliofanikiwa, watu wananunua mashamba wanazalisha mali nyie mnaiba fedha za kodi ya wananchi mnaenda kutafuna (mf. Escrow, EPA Meremeta .......). Mnauza na kujigawia nyumba za serikali ambazo ni kodi za wananchi wote, huu ni wizi wa mchana. Kwa nini hamchukui ardhi mkalima na kuajiri watanzania masikini wanaokosa ajira katika sekta rasmi mlizofilisi!
 
Back
Top Bottom