Recent content by KIUNO CHANGU

  1. K

    Kwako Rais Samia kuhusu uhamisho wa mtoto kutoka shule binafsi kwenda ya umma

    Nafasi yake alipewa mwingine baada ya kutorepoti shule ndugu mzazi Endeleeni kujichanga mtoto amalize elimu yake
  2. K

    Suluhu ya uvamizi wa panya shambani ni nini?

    Dawa ni kuanza kufuga nyoka ili wale hao panya kama wazungu walivyo fanya kongwa wakati wanaanzisha schemes za kilimo cha karanga
  3. K

    TANESCO wanataka ninunue transformer

    Sana,mimi wamefanya hadi mradi wangu wa kuku kule Boko Mnemela uchelewe kuanza.Waliniambia kama nataka umeme haraka ninunue transfoma wanifungie. Nimeamua tuu kuagiza solar China
  4. K

    TANESCO wanataka ninunue transformer

    Mimi pia niliambiwa hivyo Wilaya ya kibaha,eneo linaitwa Boko Mnemela.Niliambiwa ninunue transfoma ili waniwekee umeme
  5. K

    Maisha mapya katika nchi za watu

    Mbona nusunusu sana
  6. K

    Kusafiri na watoto wadogo 1-8 ni kero

    Umenikumbusha mbali Safari za Meatu na Mpwapwa😂😂 Ila serikali ina dhambi Sana,sijui kwanini baadhi ya maeneo imeyasusa
  7. K

    Ushawahi kuwa na msichana mwenye sehemu za siri fupi?

    Aki nimecheka leo...so punda ndo role modal🤣🤣🤣🤣🤣
  8. K

    Mapenzi na mahusiano ya Vyuoni

    Sijui kwa nini nimekuonea huruma😁
  9. K

    Jinsi Kundi la G7 lilivotafuna Mademu wa Dar (mpaka sasa hivi wanatafuna) zijue Mbinu zao

    Thanks Lara 1 Umenikumbusha mbali hasa saloon ya Khan!!!Sijui alienda wapi yule dada
  10. K

    Ambulance zetu na wahudumu wa chumba cha mahututi

    Yani wale emergency muhimbili,Mungu anawaona. Tulimpeleka baba mkwe wangu pale tokea amana,damu ilikua 3 tuu,asubuhi tuko pale hakuna huduma yoyote mpk jioni saa 2 ndo tukampigia mtu mkubwa serikali kuomba msaada ndo kumuekea damu,hapo mzee kachoka hajiwezi.
  11. K

    Makinika na matumizi ya kifuu kwenye tiba za kienyeji

    Hahahaaa. Watu na technologia zenu
  12. K

    Weekend story! BEN 10

    Endelea basi
  13. K

    Wenye madeni makubwa na hatujui tutayamalizaje tuliwazane hapa

    HELSB mil8+bank mil15+kikoba mil3. Bado naimani na serikali yetu tukufu kuturahisishia maisha
Back
Top Bottom