Shida ni nini hapo shehe wangu? Yanachocheaje udini? Je wakipiga nyimbo Za kidunia ambapo wanawake na wanaume wapo uchi hiyo ni sawa? Usicomplicatishe maisha dogo, kwangu mimi ni sawa kwa sababu wanataja Mungu na hii inasaidia watu wawe na hofu ya Mungu regardless na dini. We ndio mdini hapo...
We Mkongwe kama unawajua hao. Hao jamaa ni mafundi sana. Shekhan Sijui kapotelea wapi. Kwa wachezaji wazawa, sijui kama kuna anayemkutia Shekhan Rashid Abdallah. Tanga kulikuwa na Abdallah Salehe Sabebe kijana wa Majani Mapana, Shekuye Salehe pamoja na Waziri Mahadhi bin Jabri. 🔥 📛
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.