Recent content by KiuKubwa

  1. K

    Richard Kasesela: Tulikubaliana na madiwani wa vyama vya upinzani wanaohamia CCM kuunga mkono juhudi

    Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela amesema uamuzi wa CCM kuwateua madiwani waliotoka upinzani kugombea tena nafasi hizo ulikuwa ni moja ya mikakati ya ushindi uliolenga kurejesha kata zilizokuwa upinzani kuwa mikononi mwa chama hicho tawala. Kauli hiyo ya Kasesela imekuja wakati ambapo...
  2. K

    Faida za Muswada mpya wa vyama vya Siasa

    UCHAMBUZI MZURI....KUNA BAADHI YA MAMBO KINA ZITTO NA WASHIRIKA WENZAKE WANATUPOTOSHA
  3. K

    Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

    HAMNA JIPYA NYINYI....NENDA KAOLEWE NA MABEBERU WALIOKUTUMA.....MIAKA 3 KAMA 10....MTAPATA TABU SANA
  4. K

    Sifa za kipekee za ndege aina ya Airbus A220-300 inavyowasili nchini Tanzania

    Ufipa Chagadema kazi yao ni kutoa matamko tu mamaeee zao.... JPM anafanya vitendo....HONGERA KWAKO RAIS WETU KWA UTHUBUTU...
  5. K

    Hapa sio Ulaya ni Dar, muonekano wa JNIA kwa nje

    awamu hii ya hapa kazi tu....wapinzani watapata tabu sana
  6. K

    Unajua ni gharama kiasi zilitumika kunyamazisha maandamano ya Mange 26 April

    yaani mlichomfanyia Mange hajaamini kabisa miezi 2.5 anahamasisha maandamano lakini nyie mlivyokuwa wanafiki mkawa mnamusapoti lakini siku ilipowaidia mkajificha
  7. K

    Salaam za Uhuru: Kazi na Bata — Maana yake nini hasa?

    Huna maana niliambiwa wewe ni kibaraka wa ccm nikakataa lakini kumbe ulikuwa kibaraka wa jk na membe.ungekuwa na dhamira ya kweli ya kuwasaidia wananchi maskini usingetumika kisiasa.hayo yote uliyoyaandika hayana maana sababu dhamira ya kuwasaidia watanzania hauna.mwaka 2015 ukiwa katika uwanja...
  8. K

    Lema akosoa ukimya wa viongozi wa kidini

    Akatubu kwanza kwa wizi wa magari na ujambazi aache unafiki. kwani wakati anafanya ujambazi alikuwa hajui kama ni dhambi
  9. K

    #FreeMboweAndEstherMatiko... anyone?

    walikuwa wanatafuta kiki kwa kuvunja sheria, na kama wangeachiwa wangejitapa kuwa serikali inawaogopa na sasa wanashighuriwa wanaanza kulalama na wanachama wao wameshawastukia kuwa ni 'wasanii' na ndio maana wameamua kukaa kimya.
  10. K

    Kuna unyang'anyi wa kidola unaendelea Tanzania

    acha uzushi wa kuleta habari zisizo na ushahidi wala mantiki yeyote,mbona huwataji hao waliopokwa hizo pesa
  11. K

    Jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania (JWT) inawatangazia wafanyabiashara wote kuahirishwa kwa mkutano

    JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA TANZANIA OFISI YA TAIFA SLP 15729, DAR ES SALAAM, TANZANIA Mobile no +255 784256592, +255 655535051. Uongozi wa Taifa, Mikoa, Wilaya...
  12. K

    Mambo mazito yaliyofanywa na Rais Magufuli tangu aingie Ikulu

    Kwa kweli Watanzania tunajivunia Jembe letu Magufuli.:):):)
  13. K

    China imesema itaendelea kuiunga mkono Tanzania masuala ya uchumi na haiko tayari kuona ikiingiliwa masuala yake ya ndani na mataifa ya nje

    Mataifa ya magharibi wametunyonya sana na hawataki watuone tunasonga mbele kutoka katika utegemezi ndiyo maana wanatuletea masharti ya kipumbavu katika mikopo yao.Mara kuunga mkono ushoga,mara wasichana wakijifungua waendelee na masomo. Safi sana china
  14. K

    Watanzania shangilieni; mwaka 2020 Mungu atatenda muujiza!

    Utasubiri sana mtumwa wa mafisad.
  15. K

    Meya CHADEMA azikataa milioni 200 za CCM

    Watakaoelewa maelezo ya meya ni manyumbu.ni kawaida yao kujitekenya na kucheka
Back
Top Bottom