I didn't know Tanzania we have such a big number of economics!!
Kwa kupewa story na jamaa yako wa BoT for a few minutes tayari unaweta kusemea nchi kwamba tunakwenda kubaya!! n look at the number of the people comenting on the issue!!!
Mungu atunusuru
Mtoa mada unaweza ukwa na point, ila unapotupa lawama zote kwa CCM nadhani unakosea, na nadhani hata wewe mwenyewe unajiponga kwamba si CCM wote wenye nia mbaya na nchi yetu unaposema RASUMU ya Warioba iendelezwe kua katiba ya nchi, wakati Warioba ni CCM kufa. Hapa lamsingi, ni kubadili katiba...
I LUV MY COUNTRY..
Mengi kati ya haya uliyoyasema naona kama unapotosha jamii, kwa kutolea mfano wa machache tu, unaposema nchi inaongozwa bila kua na muelekeo na jamaa wanapiga kelee kila siku wanafwata ilani yao ya uchaguzi unakua unadhani wanamaanisha nini!!?
Maelezo wanayo yatoa ya kuhusu...
Kama nimeelewa vizuri andiko, naona kama CAG analalamikia hela ya maendeleo tu ya ofc yake, kwasababu kama waliomba 18b na kati ya hizo 8b ni zamaendeleo, ili afanye kazi zake kwa ufanisi anahitaji 10b ambapo anasema mwezi mmoja baada ya badget alipewa 2b then 5b, na mwisho 4b ambazo zinafanya...
Unaweza kua sahihi kwamba CCM inakufa, ila kumjua anaeiua wakati chama kina taratibuzake imejiwekea, ikiwemo kuongoza nchi kwa Ilani yao ya uchaguzi, ambayo inavigezo vya kupima utekelezaji wake, sioni jinsi ambavyo zigo la kikiua chama atabebeshwa mtu mmoja. Kuna vikao ambavyo vinamaweza kupima...
Uzi unaswali la msingi sana, ila wengi wetu tunajibu mzaha kama tulivyozoea.. nashauritujibu swali na kama hakuna ulichokiona basi toa palipo haribika.
Mi nashukuru kwamba tayari tuna "wings of Kilimanjaro, reli mpaka Moro nasikia inaaza, makutano ya Tazara yanaboreshwa, Njia za umeme...
Mtoa mada ungelinda andiko lako kwa data za kitafiti ungesaidia sana kwa wale ambao bado hatuamini kama uchumi unadidimia. Tafiti nyingi zinazotolea na taasisi mbali mbali zinaonyesha uchumi unafanya vizuri.. uchumi unapokua kwa 7% ni kitu chakujivunia, na kama hii kwako ni kuporomoka tuwekee...
Raisi kama kiongozi mwingine yoyote yule lazima awe na sifa zinazokubalika na watu au kundi analoliongoza, na kufwata taratibu walizojiwekea kama ambavyo taifa la TZ na katiba yake japo ina viraka vingi. Viongozi wote tangu JKN ambaye pia aliwahi kukiri 'ikulu ni mzigo' wote walikua na mapungufu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.