Soma na hii...
Mtendaji wa zamani wa CIA: "Kiongozi wa ISIS Abu Bakr Al Baghdadi Alifundishwa na Mossad wa Israeli"
Na
Anas Chihab
-
Julai 17, 2014
NSA wa zamani na wakala wa CIA Edward Snowden amebainisha kuwa kiongozi wa Kundi la Kigaidi la Iraq na Syria (ISIS) Abu Bakr Al Baghdadi...
"Mbunge wa CCM akamatwa" = UONGO
aliekamatwa ni dereva ila Lori ndo la Mbunge
"Akipeperusha Bendera ya Mbunge " = UONGO ukweli wake lilikuwa Lori wala sio gari ya Mbunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia nimeliona hili. Yaani kwake yeye hakuna hata mmoja mwenye jema! Kila zama kwake ni mbaya? Basi labda ije ghalka ndio labda nafsi yake inaweza ridhika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imenifikirisha sana hii ya "KAMA MUNGU HAKUWARIDHISHA, JE SISI WANAUME NDIO TUTAWARIDHISHA?"
Kumbe ndio maana minywele bandia, rangi bandia, boots bandia na hata akili siku hizi wengi wanazipata salon!
Hata kwa kutuambia tu, waraka namba gani wa mwaka gani tutautafuta tufanye reference.
Kwasababu kama ni kosa basi limefanywa kitambo kiasi kwamba imeonekana kama ndio utaratibu. Inawezekana waraka umesahaulika na hili swala la kushindikana kuwa public ndio hata huko kwenye maofisi hawauoni...
Natamani nipate fursa ya kujifunza kutoka kwa waonesha njia kama wewe.
Ni graduate wa finance, nafanya kazi za kutumwa hapa na pale, sina experience, sina financial resources. Nina ideas nyingi na nimewahi ku-team up with people with capital lakini tumeachana njiani.
Kindly niongoze nawezaje...
Hii hali inaitwa "afterquake". mara nyingi inakuwa na magnitude kidogo kuliko tetemeko lenyewe lakini mara nyingi huwa na madhara makubwa kama hakuna tahadhali.
hii hutokana na kwamba nyumba zilizoathirika na tetemeko hubaki na ufa ama ubovu usioonekana waziwazi sasa afterquake inapotokea...
Kubari tu kuwa umewaza tenge, sio mawazo sahihi...hebu fikiria umebadili katiba na Magu akaongoza na kufia katika uongozi, mwingine akachukua madaraka na akawa si miongoni mwa wale unaowapenda je, utapendekeza teza tuweke ukomo wa madaraka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.