Hao ni MaPress Secretaries ambao Nyerere aliwaamini sana, wa kwanza kushoto ni Habib Halahala, Paul Sozigwa, JKN, Bgr. Hashim Mbita na Benjamin Mkapa, wote wametangulia mbele ya Haki, wa kwanza kufariki ni halahala mwenye Suti Nyeusi Kushoto kabisa, na wa Mwisho kufariki ni Mkapa wa mwisho kulia...