Recent content by kitukizima

  1. K

    Nimefuta SMS ya token ya Luku kwa bahati mbaya, nawezaje kusaidika?

    ni inbox mita no yako na maelezo yake ni wa lini na tsh ngapi nitakutumia
  2. K

    TRA,TFDA,TBS tazameni kwa makini hii pombe ya K-Vant

    kwa hiyo na Mimi nikisema fanta Ina sukari nyingi ifungiwe. ufala huu
  3. K

    SWALI: Kwani ni lazima mwanamme afike kileleni mbona wanawake hatufiki?

    kama haufiki kileleni hautaji kufanya mapenzi, kufika kileleni ndy lengo kuu, mengine ni ya ziada.
  4. K

    Kashfa ya Ngono Vyuoni: Kama una kisa chochote tupia hapa

    ni ngumu kuzuia hii kitu chuoni kwa sababu baadhi ya wanafunzi vilaza ndy wamegeuza mtaji Wa kufikia Malengo yao. kama mwanafunz kilaza haoni shida kupigwa ili apate max unawezeje kumkamata mwalimu ili halo wanaotafutwa kwa nguvu ni wachache kuliko wanaojipeleka wenyewe
  5. K

    Shetani kazini: Jinsi tunavyoshiriki ibada za damu na nyama bila kujua

    hii kwenye konyagi na bia hamna hii, hamieni huku
  6. K

    Msaada wa learning materialz za CPA

    Ndugu wanajf amani iwe kwenu! Naomba msaada wa learning materialz ya CPA katika masomo ya C1 corporate reporting, C2 auditing and assurance na C4 public finance and taxation II. Mwenye kunisaidia anitumie hayo materialz kwenye email kitukizima@gmail.com. Thank you in advance.
  7. K

    Hongera IGP Sirro kwa kukomesha mauaji Kibiti

    kwa mujib Wa gazet LA mwananchi leo(online) kuna askari kauawa Leo na gari imechomwa moto.
  8. K

    Serikali haitujali, mntutumia vibaya walimu. Tusipowahukumu sisi Mungu atawahukumu (Cabinet)

    mnapata shida kwasababu hamjawahi Wa wamoja na hamtawahi kuwa wamoja kwasababu hamjielewi kila MTU ameingia kwa interest yake. Ni chini ya Wa asilimia 20 ya walimu wote Tanzania walienda ualimu kwa hiyari. wengine wote mlienda either baada ya kufeli au mazingira magumu ya kwenu hivyo kufanya...
  9. K

    Kama binadamu wote wataenda Peponi au Jehanamu vipi kuhusu wanyama wengine?

    mi nauliza tu hii ni kwa viumbe vilivyozikwa tu au na vikivyoliwa?
  10. K

    Neno 'amazing' limeanza kutumika kwa kasi, ni kwanini?

    Ni kama lile neno "si wa mchezo mchezo"
  11. K

    Ukweli kuhusu kuvuta sigara

    Madhara ya kuvuta sigara au kunywa vinywaji vyny kemika yanategemea na kinga ya mwili wako si lazima madhara yafanane au mpate kw wakati mmoja. Ndo maana wengine wanasema soda si nzuri lakini wengine mpk wanafariki hazijawah waathiri. Ndo nnavyojua hivyo.
  12. K

    Smartphones msipokuwa nazo makini zitatenganisha ndoa au uhusiano wenu wa karbu

    Hili ni tatizo siriaz na si tu kwenye uhusiano hata kutimiza malengo yako, kama uko addicted nayo kuna mambo utajikuta unayachelewa, hairisha au kuyandoa katika ratiba yako
Back
Top Bottom