Recent content by Kitox

  1. K

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mawazo Wakuu nataka kujiajiri kupitia ukalimani

    1. Inawezekana 2. Nenda UDSM, kuna taasisi ya kichina inaitwa Confucius Institute, unaweza kuicheki page yao hata instagram...ila ni vyema kwenda. 3.Inategemeana na level unayohitaji kusoma, nashauri tekeleza Na.2 utajua bei. 4.Levels zinaitwa HSK, ambapo zipo 1-7, angalau HSK4 ndipo unaweza...
  2. K

    JamiiForums Tanzania SoC04 Tanzania mpya: Kutumia teknolojia ya Blockchain kukabiliana na Ufisadi serikalini na TRA

    Wazo zuri...pia nashauri Block chain technology itumike pia ktk chaguzi zetu.
  3. K

    JamiiForums Tanzania English Language 101 CLUB

    Also, I want to join the club.
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kafanikiwa kuacha Pombe,Bange,Sigara toka mwaka 1999

    Samahani mkuu, tunaeza kuwasiliana...nina shida kama hii...tafadhali ukipata ujumbe huu tuwasiliane.
  5. K

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Valdus D20 Smart Watch (Tsh 45000)

    1. Inasaidia kupima mapigo ya moyo (Bloodpressure) 2. Inasaidia kuhesabu hatua unazotembea 3. Inakutaarifu kama kuna meseji mpya imepokelewa kwenye simu yako, whatsapp, facebook, twitter, instagram n.k 4. Inakutaarifu kuhusiana na simu unazopigiwa. 5. Inapima kiasi cha nishati unachotumia...
  6. K

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Valdus D20 Smart Watch (Tsh 45000)

    Welcome.
  7. K

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Valdus D20 Smart Watch (Tsh 45000)

    Nauza smart watch aina ya D20 Rangi: Nyeusi Unaiunganisha na Smartphone yako na inafanya mambo yafuatayo:- 1. Inasaidia kupima Bloodpressure 2. Inasaidia kuhesabu hatua unazotembea 3. Inakutaarifu kama kuna meseji mpya imepokelewa kwenye simu yako, whatsapp, facebook, twitter, instagram n.k...
  8. K

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza Stendi ya simu/tablet (phone/tablet stand)

    *Whatsapp/Call 0719668825 * Kimara Baruti, DSM *Bei ni Tsh 90,000/= Stendi kwa ajili ya simu/tablets, inasaidia kwa shughuli mbalimbali ikiwemo:- kuangalia movies,kurecord videos, kucheza games,video call/chart n.k, unaweza kuweka simu/tablet yako ktk position yeyote na pia inashikilia kifaa...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kizazi cha sasa cha Rhumba nani mkali kati ya Fally Ipupa na Ferre Gola?

    Shukrani sana...nmeongeza nyimbo nzuri ktk list yangu. Ferré Golla...Le Padré ni noma. Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kizazi cha sasa cha Rhumba nani mkali kati ya Fally Ipupa na Ferre Gola?

    Ahsante mkuu...yaani kama unapenda mziki uliotulia, wenye ladha na tungo tamu...ww sikiliza rhumba zaFérre Golla a.k.a Le Padré utaenjoy sana...yaan sanaa hasa ya muziki imebebwa na huyu mwamba...hata lugha za Lingala/French sizielewi lkn nkisikiliza ngoma zake nafurahi. Sent from my SM-J610F...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kizazi cha sasa cha Rhumba nani mkali kati ya Fally Ipupa na Ferre Gola?

    Fally anachomzidi Férre Golla (Le Padré) ni kucheza tu...lakn kwenye tungo na uimbaji Le padré anatisha sana..sema yy hana mbwembwe nyingi. Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kizazi cha sasa cha Rhumba nani mkali kati ya Fally Ipupa na Ferre Gola?

    Asee Férre Gola ni noma...yani anaimba unaskia kweli nyimbo imeimbwa...misingi yote ya mziki anaifuata...cheki ngoma kama 100 Kilos ni soo asee...kwa kweli amenirudisha kupenda Rhumba music. Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kizazi cha sasa cha Rhumba nani mkali kati ya Fally Ipupa na Ferre Gola?

    Kwa upande wangu Ferré Gola yupo vizuri sana...kamzidi Fally Ipupa. Sikiliza hzi ngoma ambazo ni baadhi tuu ya nyimbo nyingi nzuri za Férre Gola, Court circuit Marathon Kamasutra Carte rose Mea culpa 3eme doigt Jaman Ferré Gola is widely regarded as one of the best fifth-generation Congolese...
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Umri : 31 Elimu : shahada ( degree) Kazi : Mtumishi wa umma Dini : Mkristo (Lutheran) Muonekano : Si mrefu Sana wala si mfupi, mweupe, Si mnene Wala si mwembamba Mtoto/ watoto : Sina/sijawah kuoa Makazi : Dsm Kilevi : situmii Sigara : Sivuti Nahitaji mke mwenye vigezo vifuatavyo ; Umri : 23-...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa Masomo

    Habari zenu wote? Nimefanikiwa kupata admission mwaka huu Sweden lkn sijapata SI scholarship. Je, kuna namna yeyote ya kupata mkopo/mfadhili ndani au nje ya nchi? Anayefahamu anijulishe kwani muda wa mwisho wa kulipa ada ni 15 Mei 2023. Natanguliza shukrani.
Back
Top Bottom