Duh ila na mawifi wengne wapunguze ya nin kwnda kuingilia ndoa ya kaka yako.jaman na wakaka nyie unapoamua kuoa ebu take care of your wives we utaruhusuje mkeo ateswe na dada zako nawe upo iyo tabia ya kuwaachia mawifi hela za matumizi wkt mi mkeo nipö ndo nin c bora ungeniacha kwe2 ukaishi na...
Duh boarding nouma siku moja tukiwa 4m1 Bukoba Lutheran 2007 2ko prepal watu c wakawa wanapga kelele mara madam akaja akatubeba darasa zima 2kaenda kulala staff room chini kwny vumbi dah umeme c ukakatika watu wakashangilia wakijua adhabu imeisha ebana eeh tulibak mpk saa 4 usku duh kuna wengne...
Jaman wamebak wachache sana km wewe ubarikiwe mpk ushangae juct mwambie ukwel mapema ili ajipange mana ukisubir yatakua mengne bt be wise wen u talk 2 her!
Habar zenu wana jamvi! Naomba nianze kwa kuwaomba tafadhal 2saidiane mawazo ktk hili mi nina rafik angu wa kike amekua akiumia sana kwan kuna kaka ametokea kumpenda sana lakn anashndwa kumwambia mbya zaid hyo kaka anasoma dar na yey ypo tanga jaman anahitaji mawazo yenu afanye nin ili aweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.