GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 20,042
Pole sana masai dada naona imekuuma sana huyo jamaa kakuchukulia poa. kama vipi mlipue tu tumfahamu hapa.
Last edited by a moderator:
pole mdada
jamani kwa nini mnatangaza kutaka wachumba alafu mnafanya mambo ya ajabu,,,nilifatilia post ya kaka mmoja wiki kama mbili zilizopita alisema anatafuta mchumba sasa baada ya kuchat nae kwa muda leo hii tukapanga tukutane kuzungumza cha ajabu ananiambia eti uje uage kabisa haurudi ili twende club tutarudi usiku CLUB?????????? hivi kweli unataka mke ama??? yaani umenifadhaisha natamani nikutaje hapa,, alafu jingine ni kwamba na mimi nilipost lakini naona wengi wanaokuja pm wanafanya games jamani hivi msaada hapa kabla hujafika mbali na mtu utajuaje kama ancheza na hisia zako? maana siku hizi watu wana janja nyingi
hapana ninaishi na kuendesha maisha yangu vizuri tu,,na kwa nini niombe pesa wakati naweza kuitafuta mi nataka upendo tu
Huo upendo ukipewa utaweeza kuuhimili au unabwabwaja tu hapa jf??
Wewe utakuwa ni mwanamke mwenye masharti magumu.
hapana my dear namuomba mungu sana kuvua sketi ni jambo la mwisho sana
Dada masai ni PM, inaonekana wewe ni wife material.
jamani kwa nini mnatangaza kutaka wachumba alafu mnafanya mambo ya ajabu,,,nilifatilia post ya kaka mmoja wiki kama mbili zilizopita alisema anatafuta mchumba sasa baada ya kuchat nae kwa muda leo hii tukapanga tukutane kuzungumza cha ajabu ananiambia eti uje uage kabisa haurudi ili twende club tutarudi usiku CLUB?????????? hivi kweli unataka mke ama??? yaani umenifadhaisha natamani nikutaje hapa,, alafu jingine ni kwamba na mimi nilipost lakini naona wengi wanaokuja pm wanafanya games jamani hivi msaada hapa kabla hujafika mbali na mtu utajuaje kama ancheza na hisia zako? maana siku hizi watu wana janja nyingi
njoo pm nikupe jina lake ytaamini hiliPole sana masai dada naona imekuuma sana huyo jamaa kakuchukulia poa. kama vipi mlipue tu tumfahamu hapa.
kweli kabisaMtaje ndio nikushauri tena afadhali alikuambia muende club mwingine angekuambia umkute guest room no 12
Humu ni pasua kichwaa we tafuta mitaan kwako huko