wadada wa makampuni ya simu huwa mnawaoneaga kweli,yaani kila mtu akileta thread hapa ya kuzinguliwa na demu utasikia anafanya kwenye kampuni flani hivi ya simu au bank flani hivi,hasa nmb.ok badada ba kampuni za simu acheni uzinguaji basi kama ni kweli
mkuu,mimi siyo msemaji wa emirates lakini naona una mapungufu makubwa sana katika kuelewa maswala ya usafiri wa anga,kama kuna mtu amekudokeza kuhusu usafiri huu basi kakumegea vipande vipande ndo maana hujui nini ni nini.kwanza kabisa nasikitika sana kwa kuondokewa na kijana mwenzangu akiwa...
mi sina shida sana na huyu mama,kwa kuwa alishasema alipokea in good faith,basi ningeomba pia arudishe in good faith kile alichokichukua.wala hata hana kesi ya kujibu.just simle like that
inawezekana hawa watu siyo watanzania,nadhani kuna haja ya kuchunguza uraia wao,haiwezekani wakawa wezi wa mali ya umma kiasi hiki.pengine siyo wenzetu ndo maana wanatuibia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.