Rugemarila, Tibaijuka, Mujulizi, Ruhangisa, Rwabukoba ni kashfa nyingine kwa mkoa wa Kagera!

Unachonishambulia sikioni. Mkoa wa Kagera ulikuwa kwenye top three ya taifa hili kwa maendeleo, leo tuko namba 19! Hawa mafisadi hawakumbuki kuwekeza nyumbani. Huko nyuma siyo kwamba mkoa ulipendelewa bali wale wazee walipenda kwao, waliwekeza, walijenga nyumbani.

Kwani ile shule ya wasichana pale manispaa si ya Tibaijuka ama ulitaka mpaka anunue meli,na kwanini usimuulize anapanga nini baadae kuhusu kuwekeza zaidi siyo unaongea usiyoyajua as if unampangia, huyo Rugema mbona tayari ameshaweka mezani mipango yake ya kuwekeza hapo mkoani ama haufatilii? hicho kiwanda cha bia na hospitali ya kansa si amesema viko tayari kujengwa ama ulitaka iwe overnight? si juzi walikuwa na mikutano juu ya kuwekeza Kagera tena mkutano ulikuwa chini ya Ruge ama hukuona? ndo maana nasema msiwe wepesi wa kuongea kabla na kama ukiona wanachelewa kawekeze na wewe bado hujachelewa ..maneno hayajengi zaidi ya mikakati na kupiga kazi,acha majungu,mbona akina chenge wameficha ulaya huwasemi?
 
Confirmed: Jana ilikuwa niandika thread ya namna hii nikashindwa ila nafurahi kuona kuwa mmeliona hili. Nilikuwa nimekaa na mchagga............akaropoka mbele ya wateja baa kuwa kwa sasa WAHAYA wezi kuliko WACHAGGA...............eti wachaga wanaiba fedha ndogo ila wao wanapiga Billions................kazi kunadika plate number zenye majina kwenye magari yao. Huku wasilite hela za wizi kutuletea laana........walete walizopiga kihalali.

Wewe kua na adabu hakuna MCHAGA MWIZI naona wahaya mmewaingiza wajita kwenye bonge la wizi kwa ujanja wenu wakihaya.
 
wahaya wanazidi kunipa sababu za kulihama kabila lao..hawa jamaa wanachefua..

Wewe umeona ukipungua utawatikisa wahaya ama utakuwa ulikuwa unajipendekeza ukatoswa,wahaya wako kila sehemu na wanafanya harakati kibao bongo mpaka mbele sana ukiamua kujikata umetupunguzia mashuzi,kwanza ule mkoa una population ya kutosha kabisa over 2.4m bado unawaza kuchota kikombe baharini kumwaga nchi kavu kwamba kutaikausha bahari? nenda mwanakuja,kata wajihi ...
 
Kwani ile shule ya wasichana pale manispaa si ya Tibaijuka ama ulitaka mpaka anunue meli,na kwanini usimuulize anapanga nini baadae kuhusu kuwekeza zaidi siyo unaongea usiyoyajua as if unampangia, huyo Rugema mbona tayari ameshaweka mezani mipango yake ya kuwekeza hapo mkoani ama haufatilii? hicho kiwanda cha bia na hospitali ya kansa si amesema viko tayari kujengwa ama ulitaka iwe overnight? si juzi walikuwa na mikutano juu ya kuwekeza Kagera tena mkutano ulikuwa chini ya Ruge ama hukuona? ndo maana nasema msiwe wepesi wa kuongea kabla na kama ukiona wanachelewa kawekeze na wewe bado hujachelewa ..maneno hayajengi zaidi ya mikakati na kupiga kazi,acha majungu,mbona akina chenge wameficha ulaya huwasemi?

Nasema hali ya mkoa wangu, na naguswa sana kuona mkoa bora, wa wasomi ukidorola namna hii. Na wa kulaumiwa ni wenzetu waliotangulia. Mikoa iliyokuwa nyuma kama Kigoma na Rukwa eti nayo inakaribia kutupita. Kweli???! Halafu tunaambiwa kuna wahaya kadhaa wamekunja mabilioni!
 
Katika awamu za sasa za uongozi viongozi toka mkoa wangu wameingia ktk kashfa kubwa na kuondoa heshima ya uaminifu na uasilifu wa wazee watangulizi wao kama Kinyondo, Rwabuti, Sir Kahama, Balozi Ruhinda, Mzee Kyaruzi, Rwegasira nk.

Karamagi aliingia kashfa ya Bhuzwagi kabla ya kuondoka na Richmond. Kagasheki alifurumishwa na operesheni Tokomeza. Wakati sisi wa mkoa wa Kagera tukianza kusahau ikaja baba wa Scandal "Escrow". Ukisikia majina utadhani ni akaunti labda ilifunguliwa Kagera Farmers Bank! Majina mengi ni ya kwetu.

Mbaya zaidi ni ukiwauliza mabilioni waliyafanyia nini kwetu, utaambiwa hakuna hata aliyeweka kibanda. Fedha wanawekeza maghorafa Dar na nyingine wanaficha nje ya nchi. Wilaya pekee unapoona nyumba za kisasa ni Karagwe mkoa mzima. Bukoba ni nyumba zilizojengwa na wazee niliotaja mwanzoni na wenzao wa wakati huo, wa sasa wanaishia kuchafua jina la mkoa wakati mkoa unaishia kurudi nyuma kimaendeleo.


inawezekana hawa watu siyo watanzania,nadhani kuna haja ya kuchunguza uraia wao,haiwezekani wakawa wezi wa mali ya umma kiasi hiki.pengine siyo wenzetu ndo maana wanatuibia
 
unachonishambulia sikioni. Mkoa wa kagera ulikuwa kwenye top three ya taifa hili kwa maendeleo, leo tuko namba 19! Hawa mafisadi hawakumbuki kuwekeza nyumbani. Huko nyuma siyo kwamba mkoa ulipendelewa bali wale wazee walipenda kwao, waliwekeza, walijenga nyumbani.

unabwabwaja tu hata haujitambui.maendeleo unayoyaongelea hayajipimwa kwa kuangalia majengo na kama ndo kigezo basi kagera ingekuwa namba moja au mbili.kuna mikoa bado wanaishi kwenye mashimo kama paka buku,hakuna hali hyo kagera.kinachoangaliwa ni miradi ya vitega uchumi,nyuma kagera ilitegemea kahawa na chai mazao ambayo yamedorola kwa sasa.serikali imeshndwa kujenga miundo mbinu ya kuwezesha uwekezaji mwingne.tunachokiona dar n uwekezaji wa serikali ukachochea uwekezaji mwingne.ni ivyoivyo maeneneo mengne.uwepo wa bunge dodoma,udom,chuo cha mipango,nyumba za nhc n.k sio jitgada za wagogo na hayo yamechochea uwekezaji kwenye miundombinu nyingne hususani barabara,hoteli,kilimo n.k.hakuna mwizi aliyetokea kagera wala kanda ya ziwa,wezi wote namajambazi tunajua asili zao.
 
wewe nawe una lako jambo. Kwenye scandal hii.... werema, muhongo na maswi nao wanatoka mkoa mmoja, je nao tunawaweka wapi? Maana bila wao hao wahaya wasingepata pesa hizi. Na walio wengi wamegawiwa tu.... kugeneralize kwa kusema wahaya wote ni wezi ni makosa......


Uko sahihi mkuu,naamini tabia mbaya iwe wizi,urafi, uongo,umalaya na uchawi havina ukabira nadhani hao mnaojikita kwenye ukabira mnakosea!
 
unabwabwaja tu hata haujitambui.maendeleo unayoyaongelea hayajipimwa kwa kuangalia majengo na kama ndo kigezo basi kagera ingekuwa namba moja au mbili.kuna mikoa bado wanaishi kwenye mashimo kama paka buku,hakuna hali hyo kagera.kinachoangaliwa ni miradi ya vitega uchumi,nyuma kagera ilitegemea kahawa na chai mazao ambayo yamedorola kwa sasa.serikali imeshndwa kujenga miundo mbinu ya kuwezesha uwekezaji mwingne.tunachokiona dar n uwekezaji wa serikali ukachochea uwekezaji mwingne.ni ivyoivyo maeneneo mengne.uwepo wa bunge dodoma,udom,chuo cha mipango,nyumba za nhc n.k sio jitgada za wagogo na hayo yamechochea uwekezaji kwenye miundombinu nyingne hususani barabara,hoteli,kilimo n.k.hakuna mwizi aliyetokea kagera wala kanda ya ziwa,wezi wote namajambazi tunajua asi

Sijui anayewaita binadamu panya buku na mimi nani anabwabwaja. Na sijui kama hujui miradi ya serikali aiendi huko kwa uzalendo wa watu wanaozaliwa huko. Bagamoyo ilikuwa hivi kabla ya Kikwete?
 
Kwani wakiwekeza dar tatizo liko wapi ama dar si Tz? uko poor minded sana na haujuhi unachokisema kuhusu kuwekeza,jiulize waliosoma shule za St.Mathew,Tusiime,Anne Marie,Marys na wale wa chuo cha Kairuki na hospitali yake wanavyoshukuru taasisi hizo na mchango wao katika Taifa.Wewe ulitaka vyote viende Kagera kwani dar sio watanzania? kwani kwenye hizi taasisi wahaya hawapati huduma ama mpaka wazipate huko kwao? fanya kazi na wewe ukawekeze vya kwako siyo kila kitu mnakalia kuja na hoja za kipuuzi kama hizo Kagera kama kwingine watanzania wote wanaruhusiwa kuwekeza ilimradi mtu kapenda,ukianza eti kila kabila wakawekeze kwao kuna maeneo mengine hawana uwezo na hayo si maendeleo bali ni ukabila

Mkataa kwao mtumwa we Ke.....ng..e
 
Kwani wakiwekeza dar tatizo liko wapi ama dar si Tz? uko poor minded sana na haujuhi unachokisema kuhusu kuwekeza,jiulize waliosoma shule za St.Mathew,Tusiime,Anne Marie,Marys na wale wa chuo cha Kairuki na hospitali yake wanavyoshukuru taasisi hizo na mchango wao katika Taifa.Wewe ulitaka vyote viende Kagera kwani dar sio watanzania? kwani kwenye hizi taasisi wahaya hawapati huduma ama mpaka wazipate huko kwao? fanya kazi na wewe ukawekeze vya kwako siyo kila kitu mnakalia kuja na hoja za kipuuzi kama hizo Kagera kama kwingine watanzania wote wanaruhusiwa kuwekeza ilimradi mtu kapenda,ukianza eti kila kabila wakawekeze kwao kuna maeneo mengine hawana uwezo na hayo si maendeleo bali ni ukabila[/QUOTE
Ndo nyie mnajiita Wahaya wa Sinza. Hao walotajwa walisoma Dar au Kegara hizo shule za msingi na Sekondari. Mkoa wa Kilimanjaro kwa sasa ndo unaongooza kwa shule nyingi na nzuri Tanzania.Rudi kwenu wewe Ke....ng..e
 
Kuna tatizo mahali. Mhaya kaiba hela nyingi na kugawana na Wahaya wenzake. Kiama cha mafisadi wala hakiko mbali.
Ova
 
Kuna tatizo mahali. Mhaya kaiba hela nyingi na kugawana na Wahaya wenzake. Kiama cha mafisadi wala hakiko mbali.
Ova
It's better you call a spade a spade rather than beating about a bush. Kama una chuki na Wahaya sema na utaeleweka kuliko kuongea maliciously through hizi tuhuma. Mbona kuna ubadhirifu mwingi na tumeuagalia kwa jicho la ubadhirifu lakini sio kwa jicho la watu wanapotoka? Tuhuma wewe tayari ushajifanya DCI na judge kwa wakati mmoja.
 
Well said kiongozi.umeongea point sana.atakae kuelewa akuelew na asiekuelewa atakua na yake
Thanks comrade. Wengi wa wachangiaji wanaweka vitu vyote ndani ya kapu moja bila kuchambua independent and dependent variables.
 
Back
Top Bottom