Recent content by kitonga vs sekenke

  1. K

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    Sasa wewe unataka waongee haya kwani wewe ndio unaepanga wao waongee nn? Au ndio umewaandalia ilani yao ya uchaguzi. Acha kutaka kila ukipendacho kifanywe na watu usioshahabiiana nao kwa mawazo.
  2. K

    Kwanini Edward Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Anahonga watu waende kumshawishi ili aonekane anafaa mbele ya jamii.
  3. K

    Huyu abiria lazima katumwa kuvuruga biashara ya kampuni hii

    Sawa Kitaja. Ila inawezekena aliyepiga simu aliwasaidia kufika salama kwa namna flani japokuwa hamkufika kwa muda mliotaka nyie.
  4. K

    Huyu abiria lazima katumwa kuvuruga biashara ya kampuni hii

    Tutajuaje kama na wewe sio mdau wa hiyo kampuni ya mabasi na unatengeneza mazingira ya kujitetea kwa abiria ili kurudisha imani yao wasikukimbie na usafiri wako mbovu?
  5. K

    Wanafunzi jihadharini na huyu tapeli!!!

    Kamilisha zoezi tu kiongozi maana waweza kuta hiyo issue ikafanikiwa na kusitokee utapeli unaosemwa kwakuwa pia hatujapata uhakika wa mada iliyotolewa kwasababu kuwa na picha za mtu sio uthibitisho wa kuamini hayo yaliyosemwa. Pia nawe chunguza kwanza kabla ya kuamini moja kwa moja.
  6. K

    Noti ya shilingi mia tano kubadilishwa kuwa sarafu

    Ndio tunapoelekea huko,muda si mrefu itakuja hiyo.
  7. K

    Noti ya shilingi mia tano kubadilishwa kuwa sarafu

    Uchumi wetu unapanda kila mwaka.Je ni kweli unapanda kama mpaka shilingi mia tano inawekwa kwa mtindo wa sarafu? Hii ni hatari sana.
  8. K

    Nawezaje Kujua kama Huawei ni original

    Habari wana jamii forum. Naomba kufahamishwa ni code gani nikiingiza kwenye simu ya Huawei naweza kujua kama ni original au feki.
  9. K

    Kuna hitilafu Gridi ya Taifa? Umeme wakatika ghafla nchi nzima...

    Mpira ni mapumziko,Italy 0 - Uruguay 0. Costa Rica 0 - England 0.
  10. K

    Kuna hitilafu Gridi ya Taifa? Umeme wakatika ghafla nchi nzima...

    Kweli huu umeme utakuwa umekatika tz yote,aibu.
  11. K

    ni ulimbukeni (UBOYA) kuwa na simu ya gharama.

    Hapo umempa ukweli wake. Kuna watu wanatumia pesa nyingi kwa mambo wanayopenda wao ye kaona simu tu?
  12. K

    ni ulimbukeni (UBOYA) kuwa na simu ya gharama.

    huu ni umbea,acha watu waishi maisha yao.au unataka waishi maisha yako?
  13. K

    Naombeni mawazo yenu

    We SUMU wewe jina lako lenyewe linatisha,unataka kumfundisha kweli au ndio unataka kufanya kama alivofanyiwa ndugu wa Zanzibar Spices alivokuwa anarisiti mpaka akapata na mume hukohuko? Lol
  14. K

    Oral Interview Uhamiaji

    Basi kama wameuliza vyeti sidhani kama kuna tatizo sana kwasababu picha mara nyingi zinahitajika unapokuwa umeshapata ajira. Nakutakia kila la heri maana ushindani bado ni mkubwa sana.
  15. K

    Oral Interview Uhamiaji

    Pole sana. Mi sio mmojawapo ila unaweza kuta wamesahau kuuliza. Vp kuhusu vyeti wameuliza?
Back
Top Bottom