Waislam kwa Wakristo.Please tuwe twatengamuda wakufanya Meditation.Na tusome dini kwa uchambuzi yakinifu sisi wenyewe sio kukaririshwa.Ukilegea kiroho mazee ni shida sana.
Usiongee usicho kijua.Airports nyingi ulimwenguni zinafunguliwa kwanzia katkat ya June mpaka August Aviation indusry itakuwa katka peak ulimwenguni.Nenda ICAO ukaone
Kaka hii kitu hata mimi imenitokea sana.Lakini ni kusihi kitu kimoja. Lakini nashukuru Mungu tokea nipate kazi nlipanga baada ya kitanda kitakacho fata ni kiwanja. So nlikuwa najua naelekea wapi. So nlichokuwa nafanya ni kumtumia hela mwenye kiwanja kila mwisho wa mwezi kabla sijafanya chochote...
Mwaka juzi nlimtumia mt4 ika freez,badae siku tatu kurudi hewani pair ya GBPJPY nlikuwa na profit ya 900$ na pair ya EURUSD nlikuwa na loss ya 300$.Nkazi vuna zote,baada ya wiki ili freez tena mpaka leo.Huwezi amini.Sikushauri huyu brocker.Tumia Tickmill
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.