Habari wanajukwaa!
Tunayo furaha kubwa kutangaza kuwa TESE sasa inatengeneza Haidroliki Seals zenye ubora wa kimataifa hapa hapa Tanzania kwa ajili ya mitambo na mashine zako
Kwa nini uchague hydraulic seals za TESE?
🔹 Ubora wa Kimataifa: Seal zetu zinakidhi viwango vya kimataifa na...
Hii ni kweli...mimi imenitokea mara mbili sikumbuki hata ni kampuni gani. Mbaya zaidi hata hiyo soda ikatokea bahati mbaya umekunywa ni mbovu kabisa. So sio kwamba nikuharibu biashara hapana, Ila huo ni ukweli mm binafsi imenitokea. Na inaweza tokea hata kwa kampuni yoyote sio lazima coca.
Description
To work as a cashier
Minimum Education O-Level
QUALIFICATION: Minimum NBAA DIPLOMA IN ACCOUNTS
Send your CV and application letter to: teseandtecho@gmail.com
Deadline; 10 JULY 2023
Je vipi kuhusu ufagaji nyuki. Ni biashara kubwa sana na inayokuwa kwa kasi mno, na ina soko kubwa, nina mifano hai ya watu hapa kwetu wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana. Entry level yake ipo vizuri sana na nyuki ana mazao mengi tu zaidi ya asali. Mkuu just PM nikupe mlolongo vizuri. Shukrani
Duh na hiyo pia ni flyover, watu wa construction karibuni mtupe elimu kidogo, maana hizo Tz zipo nyingi hata uswazi kwangu maeneo ya mtongani kuelekea mbagala ipo kama hiyo.
Kaka spare zinalipa sana nazungumzia industrial spares and capital equipments, nipo tayari kukusaidaia na tutafanya biashara kwa 40m inawezekana kabisa.
"Sitivuu biii, ni wewe nasababisha muji kutishingika kinoooma nooma tupa sisi rubudaniii...asaaanduuu" hahaha ilikuwa ni jingle jmosi bongoflava clouds fm kuanzia ngoma nne hivi...
dah so saaaad, binafsi nikiwa msanii miaka ya nyuma jamaa alinigusa direct kabisa. nakumbuka ilivyokuwa shida kumuona iwe club au hata clouds pale lkn alitupigania sana na hata tukafika mbali, ila Mungu ananjia nyingi sana kutufanya binadamu kuwa si kitu kwake. Get well soon brother
Naandika uzi huu kwa masikitiko makubwa sana hapa keko wanga karibu mkabala na kiwanda cha dawa cha gulin, kuna bomba lenu limekatika sasa ni miezi minne maji yanamwagika na wahuni wanachota wanauza. tumeita fundi wadawasa kaja mpaka leo hajarudi, n hasara kubwa sana na sisi wakazi wa hapa maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.