kuoa wala kuolewa si jambo la lazima tunaweza kuwa na watoto na tusiishi pamoja.
Tatizo wenzetu wanaona kuolewa ni bahati ilhali sisi wanaume kuoa ni kitu cha kawaida tu na hakuna wa kutushupalia kwamba uoe
Sio mtaalam wa masuala ya sheria za nchi wala za ndoa, ila nachojua pindi waachanapo wanandoa kisheria huwa na mgao wa mali nusu nusu. lakini napokuwa na mkanganyiko na mimi ni pale ambapo tunawalipia mahari meaning that ni kama wanaume tunannua mwanamke lakini kama ni shukrani kwa wazazi wa...
Unalipwa milioni mbn nyng sana mm nalipwa laki 3 nashukuru Mungu mana nilitaka kuacha ila nilipoona kuna wenzangu wanatafuta kujitolea ikanibid nikomae tu NJAA MBAYA
Hali hii inawakuta wengi sana hata mimi pia imenikuta japo nlikua ni mtoto wa mwisho......
Kwanza nikupongeze kwa kujali familia yako kwa upendo uliotukuka.
Tukirudi kwenye maada husika, ni kweli si vizuri kubishana wala kuzozana na mzazi ,
ila kwa hali iliyopo kwako hata wewe kiwango cha...
Hongereni wana jamvi kwa kupata neema ya kuamka hii Leo.
Nimekua muuzaji wa Simu used kwa muda kidogo ambazo nlikua nanunua kwa watumiaji wa hapahapa nchini ila nikapata wazo la kupata Simu toka nje ya Tanzania hasa nchi tajwa hapo juu ili kukwepa changamoto iliyopo nchini kupata Simu za wizi...
mama ndiye mzazi halisi wa mtoto ndio maana hats upande wake hufurahia uzao wake na kuupenda......kesi nyingine ni KWANINI KUISHI NA BABA WA KAMBO NI RAHISI TOFAUTI NA MAMA WA KAMBO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.