Utaratibu wa mwanamke kupewa pasu kwa pasu baada ya talaka bila wao kuchangia ni wa Hovyo na kandamizi kwa wanaume?

Mwanamke apewe tu kile kilichochumwa baada ya kuolewa.
Hii sheria ni kandamizi kwa wanaume,wapo wanawake uitumia vibaya utafuta wanaume wenye mali uolewa nao wakikaa kidogo udai talaka Ili wapate Mali
 
Wewe naona ni mjinga kwahiyo ulizania mwanamke ni housegirl wako akupikie akufulie,akulindie nyumba yako akutunzie watoto miaka yote halafu useme hana haki ? Kwani yeye hawezi kwenda kufanya vibarua akajenga mji wake kwa huo muda wote miaka yote ulioishi naye? Kwanza ujue mwanamke alitakiwa azidishiwe robot tatu
Kama mmezaa watoto hapa ni sawa na sio hawa wezi
 
Mkuu kwani sheria inasemaje mfano kwa mali ambazo mwanamke amemkuta mwanaume anazo?
Sio mtaalam wa masuala ya sheria za nchi wala za ndoa, ila nachojua pindi waachanapo wanandoa kisheria huwa na mgao wa mali nusu nusu. lakini napokuwa na mkanganyiko na mimi ni pale ambapo tunawalipia mahari meaning that ni kama wanaume tunannua mwanamke lakini kama ni shukrani kwa wazazi wa mwanamke je sisi wanaume wazazi wetu hawatakiw kupewa shukrani kwa malezi yetu

feminist wengi suala la mahari hawalizungumzii ila mgawanyo wa mali na haki sawa ndio imekuwa ndio habari
 
Wakati wanaharakati wakihangaika kuwainua wanawake na kujifanya kuwatetea ndipo wanazidi kuwashusha na kuwakandamiza wanaume.

Hali inakokwenda kuna wanaharakati watajitokeza nao kuwa wanatetea wanaume dhidi ya ukandamizaji unaofanywa dhidi yao.

Mwanamke kutaka pasu kwa pasu ilhali hajachangia kinachostahiki kuwa pasu kwa pasu huo ni unyama kwa wanaume na pia kuzidi kuwalegeza wanawake.

Unapowatafutia shortcut wanawake manake unazidi kuwadumaza zaidi ili waje kuwa watu hatari zaidi katika jamii.

Kama ishu ni kwamba naye kalea watoto basi apate hao watoto wote wawe wake mana ndo nguvu kubwa ilikuwa huko.

Mwanamke apewe chochote lakini sio pasu kwa pasu wakati yeye hakuchangia gharama yoyote ya mali katika kukuza mafanikio ya mume.

Kama alichangia na mume pasu kwa pasu(nusu mume nusu mke)basi HAINA SHIDA IWE PASU KWA PASU,kama hakuchangia basi iangaliwe tu kipi apewe akaanzie maisha na sio mambo ya kuwafanya wanaume vitega uchumi.
Sasa tunathibitishaje kama kachangia au la??....maana wakati wanajenga hapakuwa na makubaliano ya aandishi kama wamechangia ujenzi au la????
 
Sio mtaalam wa masuala ya sheria za nchi wala za ndoa, ila nachojua pindi waachanapo wanandoa kisheria huwa na mgao wa mali nusu nusu. lakini napokuwa na mkanganyiko na mimi ni pale ambapo tunawalipia mahari meaning that ni kama wanaume tunannua mwanamke lakini kama ni shukrani kwa wazazi wa mwanamke je sisi wanaume wazazi wetu hawatakiw kupewa shukrani kwa malezi yetu

feminist wengi suala la mahari hawalizungumzii ila mgawanyo wa mali na haki sawa ndio imekuwa ndio habari
Feminist wengi hushupalia mambo ya kijinga sana ndio maana wenyewe kwa wenyewe wanapingana
 
kuoa wala kuolewa si jambo la lazima tunaweza kuwa na watoto na tusiishi pamoja.
Tatizo wenzetu wanaona kuolewa ni bahati ilhali sisi wanaume kuoa ni kitu cha kawaida tu na hakuna wa kutushupalia kwamba uoe
 
Sasa tunathibitishaje kama kachangia au la??....maana wakati wanajenga hapakuwa na makubaliano ya aandishi kama wamechangia ujenzi au la????(
Eidha muandikishiane mlivyochangia kwa kumbukumbu au mtaamua wenuewe kama mume sio mtata na mdhulumati
Sasa tunathibitishaje kama kachangia au la??....maana wakati wanajenga hapakuwa na makubaliano ya aandishi kama wamechangia ujenzi au la????
 
Ndo maana mimi mke wangu mali zangu nyingi hazijui (sijamshirikishaa)

Mke sio ndugu yakoo
Ahahhahahhahahahahhahha.

Muhimu ziwe sehemu salama mkuu,sio unakufa alafu wanakula watu wasiohusika huko wakati angejua mkeo na wanao wangefaidi,ila kama ipo sehemu salama sio mbaya
 
Ndugu hao viumbe achana nao embu vuta picha mtu anaamka usiku anaendaa basi hajabeba ata buku ya soda kavaa tu kimahaba akifika huko ni mauno tu dinner vinywaji naul atapata huko huko we unaona huyo ni kiumbe wa kushindana nae
Kaa mbal na mwanamke
umenikumbusha wiki fulani nikamtoa out demu best angu tu. ile tumekaa tu simu ya wife ikaita ikabidi nitoke nje ya lounge niopokee kama nusu saa hivi. Nikakuta kashindwa kuagiza hata soda,kumbe hata buku hana
 
Wewe naona ni mjinga kwahiyo ulizania mwanamke ni housegirl wako akupikie akufulie,akulindie nyumba yako akutunzie watoto miaka yote halafu useme hana haki ? Kwani yeye hawezi kwenda kufanya vibarua akajenga mji wake kwa huo muda wote miaka yote ulioishi naye? Kwanza ujue mwanamke alitakiwa azidishiwe robot tatu
Maneno ya busara haya.
 
Wewe naona ni mjinga kwahiyo ulizania mwanamke ni housegirl wako akupikie akufulie,akulindie nyumba yako akutunzie watoto miaka yote halafu useme hana haki ? Kwani yeye hawezi kwenda kufanya vibarua akajenga mji wake kwa huo muda wote miaka yote ulioishi naye? Kwanza ujue mwanamke alitakiwa azidishiwe robot tatu
Vipi kama huyo mke hafui, hapiki wala kulinda nyumba na hizo kazi zinafanywa na mtu aliyeajiriwa nyumbani kwa kazi hizo na wakati huo huyo mke nae anafanya kazi na kupata mshahara wa 200,000 na mme nae kaajiriwa na mshahara wake ni 1,500,000 napo wakiachana wanastahili kugawana nusu kwa nusu?
 
Wakati wanaharakati wakihangaika kuwainua wanawake na kujifanya kuwatetea ndipo wanazidi kuwashusha na kuwakandamiza wanaume.

Hali inakokwenda kuna wanaharakati watajitokeza nao kuwa wanatetea wanaume dhidi ya ukandamizaji unaofanywa dhidi yao.

Mwanamke kutaka pasu kwa pasu ilhali hajachangia kinachostahiki kuwa pasu kwa pasu huo ni unyama kwa wanaume na pia kuzidi kuwalegeza wanawake.

Unapowatafutia shortcut wanawake manake unazidi kuwadumaza zaidi ili waje kuwa watu hatari zaidi katika jamii.

Kama ishu ni kwamba naye kalea watoto basi apate hao watoto wote wawe wake mana ndo nguvu kubwa ilikuwa huko.

Mwanamke apewe chochote lakini sio pasu kwa pasu wakati yeye hakuchangia gharama yoyote ya mali katika kukuza mafanikio ya mume.

Kama alichangia na mume pasu kwa pasu(nusu mume nusu mke)basi HAINA SHIDA IWE PASU KWA PASU,kama hakuchangia basi iangaliwe tu kipi apewe akaanzie maisha na sio mambo ya kuwafanya wanaume vitega uchumi.
Kwa hiyo mchango wa:
1. Kupika (chef)
2. Ulinzi wa nyumba (mlinzi)
3. Usafi wa nyumba (msafishaji)
4. Kuzaa watoto
5. Kufundisha watoto (mwalimu)
6. Tendo la ndoa (sex worker)
7. Kukuliwaza (therapist)
...nk.

Unapaswa uzingatiwaje wakati wa kugawan mali mwisho wa ndoa.

Yani, thamani yake ni hipi? Asilimia ngapi?
 
Ndugu hao viumbe achana nao embu vuta picha mtu anaamka usiku anaendaa basi hajabeba ata buku ya soda kavaa tu kimahaba akifika huko ni mauno tu dinner vinywaji naul atapata huko huko we unaona huyo ni kiumbe wa kushindana nae

Mm nimeshuhudia demu kaolewa baada ya mwez karud kwao anadai talaka kuja kuchunguza kumbe kapata bwana mwingine na mama yke ye anasubir mahali ndo maana akawa hampi suppprt mumewe
.
Kaa mbal na mwanamke
Hapa tuwe makini sana:

Asilimia kubwa ya wanawake ni watu wazima:
Wanalea watoto peke yao
Hawana kazi maalum bali wanafanya biashara ndogo ndogo (kuuza nyanya, samaki nk.)


Niwachache sana wanaolelewa kama we unavyosema.

Kama unabisha angalia tu nje ya nyumba yako uone.
 
Wewe naona ni mjinga kwahiyo ulizania mwanamke ni housegirl wako akupikie akufulie,akulindie nyumba yako akutunzie watoto miaka yote halafu useme hana haki ? Kwani yeye hawezi kwenda kufanya vibarua akajenga mji wake kwa huo muda wote miaka yote ulioishi naye? Kwanza ujue mwanamke alitakiwa azidishiwe robot tatu
Na hili ndo tatizo, mchango wa mwanamke ni mgumu sana kuupigia mahesabu na mara nyingi sisi wanaume tunachukulia poa tu.

Kama mtu anaona wanawake wanachangia kidogo sana, jaribu kuishi bila wao utaona cost yake.

Upishi, usafi, ulezi wa watoto, urafiki: ni vitu vya ghali saaana...
 
Back
Top Bottom