Recent content by KITHEMBE

  1. K

    All about Edward Hosea, Mwanyika

    Hothea thio mnywa pombe yeye ni mthabato safi(S.D.A) nadhani unajua wasabato walivyo na msimamo na dini yao. Tena ni muhumini mzuri wa kanisa la wasabato pale magomeni mwembe chai na anacheo kanisani. Hivyo maneno hayo aliyathema akiwa na akili zake timamu.Kinachonishangaza uchunguzi wake...
  2. K

    Alama za nyakati(?)

    Mie yalishanikuta mwenzenu, nilithoma alama zanyakati nikaona wakati ni ukuta ukishindana nao utaumia mwenyewe. Ni bora jamaa akae pembeni kwanza amuache huyo mama ajiburudishe, yatamshinda tu,
  3. K

    The Radar Scandal: Investigation & Progress

    Mapetha mengine yako kwa Grey Mgonja mi thijui kwanini bado yupo madarakani, huyu jamaa anahuthika na ufithadi wote unaofanyika hapa Tanzania. Thiku atakapotoka madarakani nitawaarika wana JF kushereheka nyumbani kwangu
  4. K

    Baada ya Dege feki, rada feki, R'Mond feki, sasa uwanja feki

    Mwewe uwanja mpya umejengwa kwa ajili ya makumbusho ya taifa. kazi yake ni kwa watanzania kwenda kuungalia then basi. Ulijengwa wakati wa mzee Ben, na kilikuwa ni kijimradi cha kifisadi na ndio jambo pekee rais wetu aliyepita analojivunia na ndicho kitu kitakachotusaidia kumkumbuka.
  5. K

    The Radar Scandal: Investigation & Progress

    Nakubaliana na wewe mkuu kwa kweli ukilinganisha na za wenzake anaowajua chenge hasa akiwa AG, vya kwake ni jijisenti tu, ndio maana anaona kama tunamuonea bure mbona mafisadi wenyewe wapo. Mi nadhani twende nae taratibu atatuambia mengi, maana kama ex- AG anajua siri nyingi za nchi hii, na...
  6. K

    The Radar Scandal: Investigation & Progress

    Ila wenye system nimeongea nao wanasema bilion moja ni pesa kidogo kwa mtu mwenye wadhifa kama wa chenge. Nilikuwa naongea jana na mtu wa ofisi ya raisi utawala bora akasema Chenge amekuwa kwenye uongozi wa juu kwa miaka 30, akaniuliza unajua posho ya mwanasheria mkuu kwa siku akiwa safarini...
Back
Top Bottom