Recent content by kiteni

  1. K

    Mbunge wangu Kubenea achana na siasa za (antagonize) za kina Mnyika, utakuja kimbia Ubungo

    umetumwa au unatumika vibaya kinyume na mabile
  2. K

    Lema kama NEC walichakachua kura unagombea ubunge wa nini?

    Hayo ndo matatizo ya mtoto alie bemendwa akiwa mdogo.akiliyako imeishia hapo!
  3. K

    TANESCO-mainjinia wenye majibu ya kisiasa!

    zote kelele KA kuna watendaji wazuri basis no ruzuku kutka hazina no kuomba wafanyakz kulipwa mshahara na hazina wajiendeshe kwa faida nakutupa huduma nzuri
  4. K

    Mshahara wa mbunge ni milioni 3.8 kwa mwezi, Posho ya Ubunge ni..

    Mkuu umenena kweli tupu hongera
  5. K

    Hotuba ya Rais Magufuli akifungua rasmi bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Novemba 20, 2015

    ndege wafananao huruka pamoja hatakama mda wa kuanza kuruka wameelekea uelekeo tofauti
  6. K

    Lema anasambaza vipeperushi vya kuomba kura! Maajabu!

    ulikua unataka asambaze kadi za harusi za kumuoa mam yako?
  7. K

    Mwandishi anapozawadiwa Ubunge kwa kupendelea

    majangil ya tembo yapo chama gani vile
  8. K

    Bodi ya Mikopo (HESLB) mna agenda gani? Acheni kuwadhulumu wanafunzi wa Tanzania

    Hapa kazi tu+ccm ni ile ile=mtaisoma namba.
  9. K

    Mabepari wachache hawawezi kuwaletea utajiri wakulima zaidi ya asilimia 75

    Aaaaaa kweli aisee matapeli aheri maskini kina chenge,tibaijuka,karamagi ccm oyeee wametusaidia sana sisi wakulima hivi vijimwaka 50 ngoja tuwape vijimwaka vingine 50 mabomba yatatoa maziwa!ujamaa raha!ubepari karaha!
  10. K

    UCHUNGU: Lowassa hawezi kuwa Rais tena popote duniani

    Magufuli akishinda uraisi haja kama hujajinyonga nakufufua uwe kumbe kipya.
  11. K

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    ok we expected to go far awey than kigali bcoz its be paid more than previous one but tanzanian people are on the way to
  12. K

    Kikwete na kuhuisha mishahara ya walimu

    Nilikuwa na take home laki 6 na point bbaada ya ongezeko nina kama 8 na point. Kwa ------ JAZZ BEND ON THE STAGE.
  13. K

    Kikwete na kuhuisha mishahara ya walimu

    Acha kuongopea watu wewe wewe sio mwalimu na kama ni mwalimu labda wa kenya.
Back
Top Bottom