Kikwete na kuhuisha mishahara ya walimu

Kikwete na kuhuisha mishahara ya walimu

jk nae kazidi ustaarabu,yeye anatoka anaongeza ili iweje,mijitu yenyewe hata shukrani huwaaga haina,,,,,,,hapo ndo jk anaponiudhi...

kawatengeneza maisha bodaboda leo haohao wanadiss...

Hauna Kosa Nawewe Uwezo Wako Wa Kufikili Ndio Umegoti Hapo
 
Sijaenda kuchukua mshahara bank kwani nauli tu ni nusu ya mshahara wangu, ila nimeuliza waliochukua,wamesema hakuna nyongeza yoyote; sasa nasubili baadaye nimsikilize lowassa atasemaje juu ya waalimu.
 
Walimu,SHEMEJI kwa SHEMEJI haitawasaidia,chagueni mtu wa maamuzi magumu bila yeye Shinyanga na Kahama wasingekuwa na maji bila LOWASA
 
Imeongezeka laki 3, nilikua nachukukua take home laki 3 na 54 bt kwa sasa nimekuta take home laki 6 na 54! Kama ni kampeni wameliwaaaaaa wala hutubadili msimamo@

Wewe ni mmbeya sana tena liccm mwongo mkubwa, yaani ningekua karibu yako ningekunyofoa kucha, huna aibu tangu lini hili liserekali ovu likaongeza mshahara laki tatu, na nimetoka muda huu kuchukua mshahara wangu nakukuta kitu kinasoma vilevile, kikwete aliulizwa na walimu unatuachaje kwenye ufunguzi wa kampeni lao alisema ametuachia samia suluhu, sasa samia suluhu ndo mlo wetu??
 
Wewe ni mmbeya sana tena liccm mwongo mkubwa, yaani ningekua karibu yako ningekunyofoa kucha, huna aibu tangu lini hili liserekali ovu likaongeza mshahara laki tatu, na nimetoka muda huu kuchukua mshahara wangu nakukuta kitu kinasoma vilevile, kikwete aliulizwa na walimu unatuachaje kwenye ufunguzi wa kampeni lao alisema ametuachia samia suluhu, sasa samia suluhu ndo mlo wetu??

Nadhani wewe ndio unasema uongo na kuingiza siasa, watumishi wote wa serikali mishahara imepanda iweje wewe tu ndio haukupanda ilihali computer ni moja.
 
Narudia tena wewe ni mumbeya serikali ya ccm haijawahi wala haitawahi kutokea, wewe si mwalimu nyamaza hujui chochote.
 
Nadhani wewe ndio unasema uongo na kuingiza siasa, watumishi wote wa serikali mishahara imepanda iweje wewe tu ndio haukupanda ilihali computer ni moja.

mwongo kama wewe ni muuaji. Wewe hujui unenalo, kwani computer ndo inapandisha mishahara?
 
Ninacho kiona humu jamvini bado ccm wanaendeleza propaganda na kujifanya wao ni walimu acheni kukwaza watu ivi mwafikiria kuwa tutacheka na ccm?hapo wamejikaanga endeleeni kutoa ahadi zenu za uongo mtaona mimi ni Mwalimu Mbeya jiji hakuna nyongeza yoyote iliyo tolewa mwezi wa nane mwambieni Kikwete ana mkaanga Magufuli chamtemakuni atakiona kwa ufupi hana kura za walimu imekula kwake.
 
Moja ya ahadi ya mh Jk alipoalikwa Arusha kwenye uchaguzi viongozi wa chama cha walimu Tanzania mwishoni mwa mwezi mei, ni kuboresha mishahara ya walimu ikiwa ni pamoja na kuhuisha madaraja ya mishahara wa watu hao muhimu kwa maendeleo ya Taifa, mwenyekiti huyo wa ccm aliahidi kuwa suala hilo litaleta mabadiliko makubwa ya mishahara ya kada hiyo kuanzia mshahara wa mwezi augost mwaka huu. Walimu tupeni update pindi mshahara wa mwezi huu utakapotoka.

kama kuna mwl ataipigia kura ccm ameiba cheti naye ni fisadi
 
Narudia tena wewe ni mumbeya serikali ya ccm haijawahi wala haitawahi kutokea, wewe si mwalimu nyamaza hujui chochote.

Jaribu kuuliza walimu walioajiriwa wilaya ya Sengerema in-take ya 2014 watakueleza vizuri@
 
Kumbe wewe ni kajuzi juzi tu, sisi walimu wa siku nyingi tunaidai serikali 16 bilioni haijalipa leo waongeze mshahara laki 3, unacheza wewe, hakuna kura ya mwalimu kwa maccm.
 
Imeongezeka laki 3, nilikua nachukukua take home laki 3 na 54 bt kwa sasa nimekuta take home laki 6 na 54! Kama ni kampeni wameliwaaaaaa wala hutubadili msimamo@

Kama mshahara umeongezwa lakini na bidhaa zimepanda bei,kuna benefits gani?
 
Gharama za maisha zimepanda sana,hivyo hata wakiongeza mshahara na bidhaa pamoja na huduma mbalimbali zimepanda bei sana JE WAALIMU WAMEOKOA NINI HAPO? HALAFU MBONA NI WAKATI HUU NDIO WANAPANDISHA KAMA SIO KAMPENI?
 
Imeongezeka laki 3, nilikua nachukukua take home laki 3 na 54 bt kwa sasa nimekuta take home laki 6 na 54! Kama ni kampeni wameliwaaaaaa wala hutubadili msimamo@


mkuu unasema ukweli au? mbona nasikia walim wmeongezew elf80 au yako pekee ndio umeongezeka
 
Kumbe wewe ni kajuzi juzi tu, sisi walimu wa siku nyingi tunaidai serikali 16 bilioni haijalipa leo waongeze mshahara laki 3, unacheza wewe, hakuna kura ya mwalimu kwa maccm.

deborahmasai Hapo tupo pamoja, kumbe tulikua tunashindwa kuelewana! tuseme wote kwa pamoja "tunataka mabadiliko na hatunganyiki kwa maccm!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom