Nashangaa sana, inakuwaje flani ana cheti naww una cheti lakini mishahara tofaut,mfano mtu kaajiliwa kama mchora ramani ngazi ya cheti afu mwingine mtunza kumbukumbu mishahara tofauti ?afu ukija kutathimin mtunza kumbukumbu ana kazi nyingi tena kubwa kumzidi huyu mwingine lakini mishahara...
Bora yenu nyie walimu mnapata laki 419000 tena mtu mwenye ngazi ya cheti, lakini kuna watu wameajiliwa kwa ngazi ya cheti kama nyie lakini mshahara kiduchu take home 330000,inauma sana mfano watunza kumbukumbu watu wa masjala njaa tupu, sijui haya madaraja wanayapanga vip
Kweli mkuu post yako ina akili, mijitu badala ya kutoa facts za kweli imekalia uchama uchama akili ndogo sana kudadavua mambo yanayoonekana wazi kabisa,hawa jamaa wabaguz sana huwwz kumua raia bila kosa wakati umepewa mamlaka ya kumlinda na mali zake,pia wanaua hakuna hatua stahiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.