TUNGI KIGAMBONI HATUNA MAJI TUNAENDA WIKI YA PILI SASA...SIJAJUA RATIBA ZA HUU MGAO ZIPO VIPI....TUNATESEKA JAMAN....,PAKA NATAMAN ZAMA ZA MAJI YA CHUMVI ZIRUDI.....MGAO BILA RATIBA RASMI NI URASIMU NA UONGO TU....
sasa hivi biashara huwa inajitangaza ukiwa na huduma na bidhaa nzuri utapata mrejesho kuitia acount zanko za social media ...hata kujiongezea wigo wa wateje...
lifanyie kazi hili...unogeshe biashara yako dada....
kama upo kibiashara uataona mafanikio yake...
hii nashawahi kuuliza miaka ya nyuma kama kuna ukweli wowote baada ya kutembelea jiji la Rio De Jeneiro ,Brazil na kupita kwenye club zao ...watu wanakula denda ovyo ovyo ila papuch hawatoi bila ndom....kuuliza wataalamu wa afya uzazi wakaniambia ngoma through romance ni % chache sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.