Hello Mkuu Mshana Jr, habari za siku?! Naona mambo yako yameanza tena, ila binafsi siogopi kufa na tayari picha ya kwenye jeneza langu nishaiandaa, nawaambia wanaonihusu wanahisi natania, ila naamini siku nikifariki wataiweka hiyo, labda nifariki nikiwa mzee sana, ila sina hofu ya kifo.
Pole...