Recent content by Kitangiri15

  1. Kitangiri15

    JamiiForums Tanzania Aina 21 ya simu zilizopigwa marufuku nchini Kenya, kupenyezwa Tanzania ili kuepuka hasara ya wafanyabiashara?

    Kuna tablet zinaitwa A- TOUCH zina key board ya kupachika km laptop ina mwonekano bomba sana. Kilicho nishitua ni bei 280k tu. Vp wadau ?
  2. Kitangiri15

    JamiiForums Tanzania Madaktari wa kiume wasijihusishe na uchunguzi wa sehemu za Siri za wanawake, sera itungwe upya daktari wa kike ahudumie wanawake!

    Unashinda kilingeni sa ngapi utasoma sayansi umuhudumie mkeo? 🤣
  3. Kitangiri15

    JamiiForums Tanzania Wale Tulisoma Advanced kwenye Shule za Technical

    Musoma tech form one walikuwa wanatengeneza switch socket za kucharge simu
  4. Kitangiri15

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

    Kongole
  5. Kitangiri15

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Una akili
  6. Kitangiri15

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

    Story ina mafunzo mengi na ucheshi
  7. Kitangiri15

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sikutegemea nilichokikuta ukweni

    Mtie mimba. Mie mwaka 2016 nilifanyiwa mapicha picha, tumepeleka kishika uchumba wakapokea ila wakauliza kijana utabidili dini nikapigiwa simu kuulizwa nikapoza tu kuwa nipewe muda nifikirie. Mshua alinipigia simu moja tu. Hivi sikujua km nimezaa mtoto mjinga km wewe unashindwa nini kumtia...
  8. Kitangiri15

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kuwahi kumwaga dawa yake ni nini?

    Ni pm
  9. Kitangiri15

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Njoo tugawane dhambi
  10. Kitangiri15

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napenda sana majirani wa aina hii

    Ulikuwa sahihi.
  11. Kitangiri15

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kumkaribisha Muislamu nyama ambayo haikuchinjwa kidini?

    Nani kasema? Mimi nyumbani kwangu nachinja mwenyewe. Labda nikija kwako
  12. Kitangiri15

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kumkaribisha Muislamu nyama ambayo haikuchinjwa kidini?

    Wasichinje kwa sababu gani ?
  13. Kitangiri15

    JamiiForums Tanzania MSAADA : Nashindwa kuingiza umeme tangu jana, Mashine ya kuingizia inazunguka tu..

    Ahsante, nilikuwa offline kwa muda mrefu, nilipata msaada kutoka kituo cha miito ya dharura jirani
  14. Kitangiri15

    JamiiForums Tanzania DOKEZO DC Mbinga avunje Hostel Bubu kwenye Shule za Sekondari Mbinga DC na Mbinga TC

    Hivi kuna waratah kuhusu uanzishaji wa hostel ?
Back
Top Bottom