Recent content by KITANGE

  1. K

    Mbunge na Madiwani wa CHADEMA wamtoa baruti Mkuu wa Wilaya

    Hongera sana MADOWANI maana hao wakuu wa wilaya wanajiona mungu watu. Hajui kuwa yeye siye Diwani anafuata nini kwenye vikao vyenu. Huku kwetu Dar mkuu wa wilaya ni hakimu anafunga wabunge na watendaji.
  2. K

    Rais Magufuli: Hakuna sherehe ya miaka 54 ya Uhuru mwaka huu, Badala yake mkafanye Usafi

    Bado mwenge unaokula pesa nyingi kila mwaka.
  3. K

    Hivi TCRA mnawaogopa Star TV?

    Sasa sisi tumalize kazi tumchague aibu itabaki kwao. Kesho mapema kwenye vituo. Mabadiliko
  4. K

    TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

    Apumzike kwa Amani Kamanda Mohamed Mtoi. Tumepoteza, tusonge mbele na MABADILIKO 2015. R.I.P
  5. K

    ITV huu sasa ni upendeleo wa wazi wazi kwenye habari zenu

    Ni kweli na leo saa mbili wamefanya hivyo mgombea wa ccm anapata muda mwingi tofauti na mgombea wa chadema anayewakilisha UKAWA. Star TV wanalo Tangazo linaloonyesha mgombea wa chadema kuwa anagawa rushwa. Kibaya zaidi wanaonyesha hata marehemu sheiikh mkuu mufti Simba.
  6. K

    Kutoka Mafumbo- Kashai Bukoba, wananchi wako wamelala nje kituo cha kuandikisha BVR

    CCM zamu hii watapata cha mtema kuni hata kwetu Kishanje tuliitikia kwa wingi zoezi.
  7. K

    Picha kuonyesha operation TIGI TIGI

    Kwetu mnaenda lini maana hamjaenda tangia M4C ianze sijui kwa nini. Bukoba Vijijini hamjaenda huko au hamkupendi?
  8. K

    Pengo lazima awaombe msamaha Maaskofu wote. Tamko lake lilikusudia kuwadhalilisha

    Pengo ni mnafiki sana hana utumishi rohoni ni sawa na YUDA aliyemsaliti kiongozi wake Yesu. Huyu kawasaliti Maaskofu wenzake na mkuu wa kanisa lake. Tumlaani kila uchao.
  9. K

    Picha: Joseph Haule (Profesa J) katika harakati za mapambano ya kulinyakua jimbo la Mikumi

    Huyo kamanda namkubali tangu enzi ya ZARI LA MENTALI. Pamoja daima Kamanda.
  10. K

    Yuko wapi Job Ndugai Naibu Spika?

    Yupo kizuizi cha nyumbani kama Aboud Jumbe Mwinyi
  11. K

    CHADEMA kuongea na Vyombo vya Habari leo saa tano

    Kwani Zitto ni kitu gani hii ni shida kwenu mnaotumia jukwaa hili kwa kuganga njaa. Mnalipwa kuandika mambo yasiyo na tija jikite ktk mchakato wa Katiba waeleze wadau tufanyeje wananchi kupata elimu. Kafukuzwa Zitto mwaka jana wewe inakusumbua nini au alikuwa na kadi yako ya uanachama.
  12. K

    Mkutano ACT Kigoma Ni Aibu Tupu

    Zitto anataka vyeo kwa nguvu zote. Hatuna wasi nao sisi wapiga kura.
  13. K

    Mlata; ukawa waliotoka bungeni wakamatwe wapelekwe mahakamani

    Mlata na Rwakatare Greturda hawana tofauti ya YUDA ISKARIOT badala ya kuhubiri upendo ni watumwa wa CCM. MASHETANI WAKUBWA HAO.
  14. K

    Prof. Imbrahim lipumba achafua hali ya hewa sasa hivi bungeni

    Maccm yanafikiri nchi hii ni mali yao? Wananchi tumeishajua janja yao hatudanganyiki. Hongera UKAWA TUPO NANYI.
  15. K

    Sijawahi kuona kitu kama hiki

    Magamba yanaomba kura Chalinze.
Back
Top Bottom