Ni kweli tena nimeliona tangazo wamama wanaitana kumsikiliza mama mwingine anayeongea kwenye ilo tangazo mwisho anasema rais ataenda tandale rais anapanda daladala huyo ni chizi.alafu wale wamama wanacheka.katika hili star tv mmechemka.TCRA HAWAONI NI VIPOFU.MUHUKUMU WA HAKI NI MUNGU TU.POLENI TCRA KWA UTUMWA MAANA MNAJUA TANGAZO LINATUSI NA MNAKAA KIMYA SABABU MPO KATIKA KONGWA LA UTUMWA.MTUMWA AJIAMULII BALI ANAAMULIWA LA KUFANYA.Hebu taja tusi mojawapo.
kila mwana ukawa hadi mgombea wenu analia kuonewa