Recent content by kitambaa Cha sofa

  1. K

    JamiiForums Tanzania pAFYUM ZA MAFUTA

    Iyomo au rose
  2. K

    JamiiForums Tanzania pAFYUM ZA MAFUTA

    Ndio naweza pata?
  3. K

    JamiiForums Tanzania pAFYUM ZA MAFUTA

    Habari Natafuta pafyum za mafuta oil pafyum naweza kupata wapi? Niko dar
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kama unahitaji vipodozi jumla (mafuta,pafyumu,losheni, n.k)

    Humo dukani kwenumna pafyum za mafuta?
  5. K

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Asante
  6. K

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Ngoja niirudie
  7. K

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Da singanoo tuhurumie na sie wa bure
  8. K

    JamiiForums Tanzania Unyakuo ni nini? Je, watakaoachwa duniani baada ya unyakuo, watapatwa na nini?

    Mbona huweki namba ya kutuma sadaka?
  9. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua sehemuwanakofundisha lugha alama

    Naomba kujua sehemuwanakofundisha lugha alama Mi niko mbagala
  10. K

    JamiiForums Tanzania Ulifanywa nini ulipokamatwa unajenga bila kibali cha ujenzi?

    Mi nimejenga huku wilaya ya temeke na nishahamia lkn mbona SIJAWAH kudaiwa hicho kibali? Hata majirani zangu hawana
  11. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ana miaka 47 anaishi kwa Wazazi wake, kazi hana na anataka kuja kwetu kujitambulisha

    Amesema hela anapewa na mama yake
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ni njia gani nitumie ili mdogo wangu ajiunge na academy au timu yeyote ya Mira wa miguu nchini ??

    Mpeleke azam chamazi complex pale atafanyiwa majaribio akiweza atapelekwa azam b timu ya watoto huku kwetu chamazi hata wasio na vipaji wanaendaga tu kufanya mazoezi na kunywa chai ya bure
  13. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM inapita mitaani kuomba namba kwa kisingizio cha ujirani

    Ndugu watanzania kuweni makini na CCM, imeshaanza figisu mapema yote hii. CCM haina hata aibu imetoka msituni na sasa inapita mtaani kuomba namba yako ya simu au namba yako ya kadi ya mpiga kura. Kuweni makini watanzania. Pia soma - CCM waanza kuchukua namba za NIDA za wananchi, Msajiri wa...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Mimi na Mimi

    Elton tony plz naomba usimuue miriam
Back
Top Bottom