Acheni uzuzu katika kitu ambacho leo mmeharibu sku ya ngu ni lowasa kuhutubia akiwa recorded!kwa nn asiwe live?jje ni kweli ni mgonjwa?je hawezi kusimama zaid ya dakika 20? kwa nn mnashindwa kujibu propaganda za ccm kwa vitendo?
ndugu uliajiriwa mwaka gani?je umeshatimiza miaka mitatu kazin?je hujawahi kupanda daraja hata mara moja?utumishi kwa sasa hawabadilishi cheo imediateky ukipata elim ya juu ispokua mshahara hubaki vilevile ila utaendelea kupandaraja kila baada ya miaka mitatu,kuongeza elim haina direct impact...
yeriko nyerere katika kiwango chake cha uongo,hongera majibu mtayapata october ndanganyaneni sana hapo ufipa ccm kwa sasa wapo kwenye pre campani wakisharuhusiwa kuanza campani yenyewe watakua walishamaliza game
Du kweli mkuu nilijaribu. kupambana lakin wenzanggu waliniangusha!Ila wanachokifanya impact yake itakua kwenye matokeo ya walicho kiffundisha nimechoka kubuluzwa!
Leo nilihudhuria semina ya mafunzo ya namna ya kumsaidia mtoto kupua iliyofanyika KIBITI wilayan rufiji Cha ajabu wengine tumelipwa per DM Elufu kumi na tano tu!je Hii ni haki?Mganga mfawidhi wa wilaya tunaomba ufuatilie hili!pia waziri wa Afya tunaomba uingilie kati swala hili tumekua...
Tena selasin kafanya vizuri kaudhihirishia umma wa watanzania kuwa waislam ndani ya CHADEMA hawatakiwi tusubili 2015 na movement fof church (M4C) kura yangu mim haiwezi kwenda kwa Cdm hata siku moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.