Nakubaliana nawewe kabisa.kwanza wanaishi maisha magumu sana na wao ndio walioko na wananchi huko chini
ajabu nikwamba mshahara wao haufiki hata laki nne lakini wabunge wameongezwa umefika 17m
Habari kutoka Ngorongoro ni kwamba Mbunge wa Jimbo hilo, Emanuel Ole Shangai amechukuliwa na wasiojulikana.
Habari ni kwamba amepakiwa kwenye gari jeusi na kutokomea naye kusiko julikana. Vyanzo vya habari zinasema alikuwa akitokea mjini arusha alivyofika karibia na mji wa karatu eneo la rhotia...
Aliyekuwa Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga anashikiliwa na kikosi kazi cha serikali kutoka Makao Makuu Dar, kinachohusika na kukusanya madeni.
Taarifa za uhakika zinasema Kalanga alikamatwa majira ya jioni nje ya ofisi za NMB na askari wa Takukuru na baadaye kupelekwa ofisi za Takukuru mkoa...
Tunajuwa nyinyi ni vijana wa Rc morogoro mmeamuwa kumgombanisha kalanga lakini naawambieni hamtaweza.mshaurini sanare ahangaike na kazi aliyompa rais na jana ameonywa akiendelea na huo ujinga yatamkuta yaliyomkuta Gambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.