Tamil tigers
New Member
- Jun 11, 2022
- 2
- 3
Napenda kushauri Mh Rais avunje idara ya Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira katika Halmashauri maana haina tija yoyote na watumishi wa idara hii wahamishiwe sehemu nyingine kama TFS, TAWA, TANAPA kila mtu kwa taaluma yake.
Kwenye Halmashauri hizi maafisa hawa wamekuwa watoza ushuru na hawafanya kazi za taaluma yao,Halmashauri hazina bajeti yoyote kwenye masuala ya Uhifadhi hivyo kupelekea nguvu kazi hii kukaa bure au kufanya kazi ambazo sio za kitaaluma.
Kwenye Halmashauri hizi maafisa hawa wamekuwa watoza ushuru na hawafanya kazi za taaluma yao,Halmashauri hazina bajeti yoyote kwenye masuala ya Uhifadhi hivyo kupelekea nguvu kazi hii kukaa bure au kufanya kazi ambazo sio za kitaaluma.