Habar yako Dr: Mimi nina tatizo la kutoa harufu kali mwilini, ninaoga kutwa mara 3 na medicated soap lakin wap, nikitumia manukato ndo balaa hali inakua mbaya zaidi, tatzo nn Dr maana hali hii inanitesa sana
unashuka masaki mwisho daladala zinaposhukia, then ukishuka pale stand we uliiza mgahawa wa Marry Brown watakuonesha coz marry brown inapakana na ERO LINK.... LAKINI ERO LINK WALISHAHAMA MASAKI WAPO MORROCO NYUMA YA GAPCO OIL STATION....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.