Jamani kama mahakama kuu imenywea hao Tcra wana ubavu wa kupingana na raisi kama yeye anatangaza ushindi tayari kwa mgombea wake kabla ya kura kupigwa na time Wapo kimya unategemea nini hapo tikazeni kamba tuwapige chino tupate ukombozi
Nimefikiria hawa ccm wanapiga ramli ya ushindi kwamtaji hewa wa wanacha ambao walishakimbia na washabiki kwa nguo na buku tano lakini kura zao ka LOWASSA habari ndiyo hiyo tuliopo mitaani
Ccm wenyewe 2010 wakumbuke mpaka mzee mwenzetu Tido ajira iliota mbawa kwa mudahalo huu wa mwaka huu umeandaliwa kimipango ukizingatia na tv zinazoendesha hazina ueledi endelea na kampeni mdahalo siyo mpiga kura sisi ndiyo tunakuelewa umuhimu na umahiri wako waache wapate pointi za kuzungumza...
Mimi sitachoka kusema kuhusu hawa vijana wa ccm nina mashaka na malezi yao inanaonekana katika makuzi yao inaonyesha wamelelewa kwa kulala chumba kimoja na wazazi wao huku wakiwa na ufahamu na yanayotendeka kwa wazazi wao hayo ndiyo matunda ya malezi dizaini hiyo msiwashangae fuatilieni historia...
Kauli yako ni sahihi wao wamemkataa Lowassa kama alivyomkataa Dr Padri lakini sisi wengi tunamtaka hawamtaki wakae kimya nadhani harakati hizo wamezianza yaelekea posho waliyopewa imeisha waongezewe ili wamkatae vizuri kwa sababu inaelekea hata vichinjio hawana ambavyo vingewasaidia zaidi kumkataa
Tokea kaanza kampeni Lowasa ameuzika kwa wananchi kutumia gharama zao kutengeneza mafuriko kuliko mafuriko ya kukusanywa na kutelekezwa mikutano kiti ambacho hats mkatibu wa chama hicho kuanza kuchoka kwa kukosa malipo ya kukusanyia wasikilizaji
Ndiyo aloyaongea mzee watu kuna kundi la vijana wahuni wanotumwa na viongozi wao kutukana wazee inawezekana labda wamezaliwa nje ya ndoa kijana mwenye maadili aliyelelewa na kulala chumba tofauti na wazazi wake hawezi kufanya kama wanavyofanya hao maning'ina wa ccm
Ukereketwa wako na mwanaccm mwenzio wala hautikisi jamii inayohitaji mabadiliko wewe wa 387 cdm mwenzio hata ya ccm hajarejesha na wewe tujuze ulimkabidhi nani ktk ujio wako cdm?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.