Mkiekewa kwa urefu kuhusu Nyerere na mabadiliko mnachukia.
Mkiwekewa lema anavyomchana lowassa mnakasirika.
Star tv wabawasilisha ukweli ambao sifa yake kuu ni kuumiza wasioutaka.
StarTV wana masaa tuu watanyooka
Vipi huwa unatumia zile sigara za kusokota mwenyewe ambazo ukivuta huwa mbegu za zinapasukaoasuka, maana naona umeanza kutishia nyau wakubwa
Kwani nyie mmejipangaje. Mbona mnalialia?
Wanatengeneza CD za kumtukana LOWASSA wazi wazi! Mmeona ni wapi vyombo vingine vinafanya uchafu huu? TCRA ninyi ni watumishi wa umma mnawatikia kina Nani? Mnakaaje kimya huku mkijua kua STARTV nyenendo zao ni Chafu? Wanatukana wazi wazi kwanini?
Lowassa fisadi hapatikura za watanzania
Lowasssa hapana hivi 152 m per day naanzaje kuisahau kwa miaka miwili tuu kakusanya bei gani za watanzania??