Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,475
- 43,821
Mkuu mvuto wa nini tena kwani kuna mashindano ya warembo?Mkuu;
Kwa jinsi ninavyoelewa mimi, lile jimbo la Mtama mwenye mvuto mkubwa ni Mathew. Huyu alikuwa Diwani wa kata ya Vijibweni kigamboni kwa CCM, mwaka huu akaamua kwenda kugombea ubunge huko kwao Mtama. CCM wakamkata jina lake na kumpitisha Nape ambaye si mzawa wa Mtama. Hivyo wananchi walikuwa wanamtaka Mathew agombee kwa tiketi ya CCM, lakini baadaya matokeo ya kura za maoni. Wananchi wakamwambia mathew ajiunge na chama chochote nao watampigia kura huko. ndipo Mathew akajiunga na CHADEMA kisha wananchi walirudisha kadi za CCM zaidi ya wanachama 700.
Hivyo huko Mtama nape pamojana mgombea wa CUF wanajisumbua kwani mwenye mvuto kwa wananchi ni Mathew.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Jibu swali kwa nini UKAWA wameweka wagombea wawili katika jimbo moja nataka kusikia kauli kutoka kwa viongozi wa UKAWA siyo fikra zako mkuu.
Kwenye orodha ya wagombea ubunge wa UKAWA jimbo la Mtama wamepewa CUF wewe tena unaniambia kwa jinsi unavyoelewa wewe sijui wewe ni nani UKAWA.