Recent content by kisuejowimo

  1. K

    Kikwete: Nisingepewa Elimu na Kanisa ningekuwa nafanya biashara ndogondogo Chalinze!

    Kweli ma friend ni balaa sana manake tuna vihio wengi sana nnchini watu wameunga unga sana na ndio maana pia tuna viongozi wa ajabu ajabu!
  2. K

    Marekani yamuonya tena Kagame

    He will die like a flies b'se the super power of the world or we can call the watch dog of the world is see each an everything and that dog will dismantle him any time they want!
  3. K

    Ni bora CHADEMA ife kuliko kuvuliwa uanachama

    Kweli kabisa Zitto ni mjinga sana tu kwani andhani ni yeye tu mwenye mawazo ya maana chadema na wala hakuna viongozi wengine wenye mawazo! Ataishia pabaya manake tumeshamshtukia jamani!
  4. K

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    Kweli baba waambie manake hatuna viongozi hapa nchini kwetu ila tuna maboga tu yanatuongoza na ndio maana wanavunja uhusiano na nchi kama israel ambayo ni moja ya nchi zenye maendeleo makubwa kiteknologia duniani na pia ni nchi iliyobarikiwa sana manake hata vitabu vya dini kama Biblia...
  5. K

    Mwenyekiti CHADEMA Temeke adai alitekwa na mwanaCHADEMA mwenzake, CHADEMA yataka Polisi ichunguze

    Siamini hao watu wanaoandika kuwa chadema ni chama cha kigaidi na kamwe hawawezi kuangusha kwa kukisema chama vibaya we are not ignorant s like before leo hii watanzania wanaelewa mambo na pia wanayafuatilia sdana jamani! Na kamwe chadema hawawezi kuwa magaidi ila ccm ndio magaidi!
  6. K

    Tujadili makato ya LUKU katika manunuzi ya Umeme (Service Charges)

    Jamani hawa Tanesco wanataka tuhame nchi au vipi jamani au wanadhani kila mtanzania ana kipato kizuri nini kama hao mafisadi jamani? Mimi nadhani ni vizuri Nchi iruhusu wawekezaji wengine katika uzalishaji wa umeme iwe kama kwenye mashirika ya simu manake Tanesco iko yenyewe haina mshindani na...
  7. K

    Wachina wakamatwa na Shehena ya Meno ya Tembo Bandarini Dar

    Kweli Mimi siamini kama haya mambo ya ujangili na wizi wa rasilimali zetu hayatambuliki na wakubwa nina imani kabisa ya kuwa vigogo wanajua kabisa na ndio maana hata hakuna linaloendelea kabisa na yataisha hivihivi tu. Cha muhimu ni sisi watanzania kufanya mabadiliko ya kuondoa serikali iliyoko...
Back
Top Bottom