Kamuulize mamako si uko nae nyumbani.
Ha ha ha ha du watoto wakipemba bwana sawa ndugu,
Kamuulize mamako si uko nae nyumbani.
Kamuulize mamako si uko nae nyumbani.
Hivi hiyo bandari ya Bagamoyo (a proposed one - Miaka 50!!!!!!) Wachina watajilindia wenyewe au itakuwa chini ya TPA??
cc: Invisible, Chris Lukosi, Dingswayo, Mwita Maranya
hebu funguka mkuu. wengine hatuna habari na haya uyaandikayo.
Umri na kutekenyana unahusu nini? kamuulize bibiyo vipi, kaacha kutekenywa?
Wadau nimekua nikijiuliza ni kwanini kila Shehena kubwa ya Meno ya Tembo inayokamatwa, km ile ya Zanzibar na Dar es Salaam mara 3 wahusika wakuu ni Raia wa China?
Siku za karibuni ktk mikutano ya CCM iliyokua ikiendeshwa na kusimamiwa na Katibu Mkuu wa CCM akishirikiana na Katibu wa Uwenezi Nape Nauye kanda ya Ziwa,,tulishuhudia BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA, akipanda jukwaani na sare za CCM huku akikipigia debe.
Je uhusiano huu wa Ccm na balozi wa China nchini Tanzania haiwezekani ndio sababu kuu ya Wachina kushiriki ktk hujuma dhidi ya Tembo kwa kuwa wanajua watalindwa na serikali iliyoko madarakani ya CCM?
Serikali imekua ikiwapa Wachina kipaumbele sana ktk kutekekeza miradi mbali mbali km vile Ujenzi wa Majengo marefu nchini,,ujenzi wa Barabara lakini sio hivyo tu hata mradi mkubwa wa ujenzi wa Bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.
Wachina tumewapa Gesi,,tumewapa hata Madini lakini bado hawajatosheka wanaendelea kutuhujumu ktk Mbuga zetu kwa kuuwa Tembo wetu, je ni kwanini serikali yetu inaingiwa na kigugumizi kuwatimua watu hawa nchini na badala yake inaendelea kuwakumbatia??
Je uhusiano uliopo kati ya Mwakilishi (Balozi) wa China na CCM,chama kinachoongoza serikali haiwezi kuwa ndio sababu ya kila Shehena ya Meno ya Tembo inayokamatwa kukutwa wahusika wakuu ni raia wa China?
mkuu hii habari sidhani kama ni ya kweli. nakumbuka riz1 alienda kwenye media na kulitolea maelezo. hata siku hiyo unayosema jamaa alienda china ilikuwa ni siku ya uhuru wa ruanda na kikwete alikuwa kwenye sherehe huko, siunajua safari ya china ni ya masiku na sio masaa. lakini hata riz1 mwenyewe alisema hajawahi fika huko china na akathibitisha na passport yake.Umenikumbusha , Nilikuwa Nawaza Kwanini Jakaya Awe Kiiimya Kwa Ishu Kama Hii, Duuuu Wamemkomoa Kwahili Hana Sauti. Daa Hapa Wananchi Tuingie Mtaani Kutokomeza Hawa Ngozi Nyekundu Hatari Kwa Tembo Wetu , Lizi Anathamani Gani Ukifananisha Na Tembowetu , Tumechoka Hatutaki!