Recent content by kiss me

  1. kiss me

    Ushauri wa haraka sana unaitajika.

    Kinachokufanya utafute hyo mke ni hizo zinakushinda sio??? Sema unataka mfanyakaz wa ndani sio mke......
  2. kiss me

    Haya dunia uwanja wafujo huyu ni mnyama gani?

    Jamani vitu vingine mpka unaogopa ... huyo ni farasi af jogoo.
  3. kiss me

    Kuwa single raha sana

    Uckute umeachwa kwa mapungufu yako afu unajishaua kuwa single raha Kuja nikuonjeshe raja ya kupendwa
  4. kiss me

    nimeingia hodii hodiii wana jf..... mpo pouwaaah..

    Kwahiyo hyo dem mwenyewe kakutongoza au ulimtongoza ndo kakupa masharti ya kufanya nae mapenzi bila kinga??
  5. kiss me

    Naombeni mnipokee wana jf

    Mimi ni mgeni jamani naombeni ushikiano wenu wapendwa wa jf
  6. kiss me

    Je, ni kweli kwamba wanawake wa kuoa hawapo?

    Hapo wanaume nao wanahucka bhana,,, yani cku hiz watu wanaonjana kwanza ndo wanaoana bikra labda umchukue akiwa mchanga umkuze meenyewe
  7. kiss me

    Kwa anayewafahamu wanawake wa kimakonde

    Haha lol we tyta unamuogopesha mwenzako
  8. kiss me

    Kwa anayewafahamu wanawake wa kimakonde

    We muoe tu kama kweli umempenda nae kakupenda mambo ya kabila sio cgezo
  9. kiss me

    Tumsaidie mtu huyu, amechanganyikiwa

    Jaman hyo dada sio mesminifu kwani anajua kabisa hyo cm yake imejaa uchafu ndoa maana hataki mwenzi wake aiguse. Awe makini nae kwani wanawake wa cku hz wachache sana waaminifu..
  10. kiss me

    Nimechanganyikiwa mwezenu

    Wanaume wana roho ngumu tu mbna ssi huwa wepesi kusamehe hta kama kafanya kosa kubwa??? Muombe mungu ampe moyo mwepesi
  11. kiss me

    Ananipenda kweli?

    Mwaya ucmpe moyo wako kwanza ukae mguu ndani mwingine nje, mana hawa watu hawatabiriki
  12. kiss me

    jamani msaada. Nakufa kwa sababu ya meseji hii.

    Tuliza akili hyo ni msg tu.. inawezekana hakuna kinachoendelea acha presure jaribu kufatilia taratibu na usionyeshe kuwa kuna kitu umeona kwenye cm yake....na ukiona c mwaminif uamuz unao mwenyewe
  13. kiss me

    Nahisi umri wa wana MMU ni kuanzia miaka 21-28

    Mh kuna watu wanaumri mkubwa but hawana ushaur mzur ktka swala zima la ndoa/mapenz.. wanafanya mambo ya kitoto.
Back
Top Bottom