Kule utotoni ok. Lakini sasa kwa kuendeleza upumbavu wake amekosa adabu kabisa. Akizidi waambie ndugu zako watajuwa jinsi ya kumkomesha. Iwapo hatokoma mweleze mumeo atapata anachokitafuta.
Naona Manji hana haja ya pesa za mengi bali heshima yake. Swala hapo sio hiyo sh. 1 bali ndugu Mengi aombe radhi katika vyombo vyake vya habari kwa muda wa siku saba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.