Hayo ndio maisha yangu ya kila siku, tangu niligundua Nina Hilo tatizo Mwaka 2010,hadi Leo naishi nalo bila kwenda kwenye matibabu yoyote wala kutumia dawa zozote za kutuliza maumivu. Katika hayo unayo pitia hapo, kwa upande wangu ongezea na maumivu makali sana ya kichwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.