Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,759
- 20,153
Aisee poleNashukuru mkuu,
Imekuwa ni kama jambo la kawaida watu wanatutapeli nakupotea na pesa zetu,
Kwenda polisi na muda wa kufiatilia ni mdogo,
Unampigiq mtu simu kwa ujeuri hapokei kabisa au anaamuwa kuku block kabisa
Wakati mwingjne kinachouma sio deni ila ni dharau kutoka kwa tapeli anakuona kama zoba mjinga fulani hivi