Bora usiongee kabisa makatibu wakuu wenyewe hawaelewani na wakuu wao katibu wa elimu anataja devision 5 waziri anasema devision 0 kuna uongozi kweli hapo? sekta hazina utendaji wa pamoja timu wake, rais au waziri akiondoka ofisi iko wazi anasubiliwa yeye ndo kila kitu.
Wakati wa kulipa kodi hakuna MACHADEMA wala MA CCM Rais ni mwajiri wa walipa kodi so ni lazima tujue mshahara wake na hao kenge wanao lalamika wakae pembeni kama wanaona noma mishahara yao kujulikana wajiuzulu watu kibao wanazihijaji hizo ajira.
unataka mvuto au kueleweka?hata shuleni mwalimu haangalii mwandiko ukoje anaangalia ulichoandika kinaeleweka??pole kwa kukosa kuuona mvuto kwenye story yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.