Mi naona Habari ya tindikali imefunika kimataifa kuliko hata moto wa airport kenya. Sasa international media imepata mlango wa kuingilia Tz. Tunahitaji kujisafisha. Tabia ya kusubiri watu wasahau imesha expire
Yuko sahihi. Hana sababu kuwafukuza watanzania walioingia Rwanda kwa sababu hawakuingia na silaha za kivita, hawafanyi ujambazi, hawauwi wanyarwanda, hawaendi kupora ardhi, hawaendi kuhonga wachaguliwe kuwa viongozi wa vijiji
Tangu ashike cheo cha naibu katibu mkuu wa ccm amejitahidi sana kukifanya chama chake kupoteza mvuto kuliko kabla hajapata hicho cheo. Amejitahidi sana kuongeza idadi ya Wabunge na Madiwani wa Chadema (pamoja na ile 4-0 ya Arusha). Amejitahidi sana kufanya wananchi wapungue kwenye mikutano ya...
Kuna watu wanakusingizia elimu ndogo uliyo nayo uliipata kwa shida sana. Kuvulia chupi kila mwalimu wa kiume. Ila sikujua kama ulianza huo ujasiri tangu ulipokuwa darasa la nne. Kwa sababu hiyo methali inafundishwa darasa la nne. Inaitwa hivi, kuvunjika kwa KOLEO siyo mwisho wa uhunzi. Koleo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.