Bado kwasasa hatuna ajenda, issue yetu tumempa Bibi Kijibosimba.Vipi tunaandamana lini tena?
Viongozi wa dini, wanaharakati, wanahabari na wengine waliouawa kwenye mikutano ya siasa bado haijulikani waliohusika walitumwa na nani na pia anayeratibu utitiri wa matukio ya kinyama dhidi ya wapigania haki.
.
Zamani sawa. Si sasa. Chama chetu sasa kina mkusanyiko wa watu wenye malengo tofauti. Wapo wasaka sifa na madaraka hata yasiyo rasmi. Wapo walamba miguu. Sasa,vitengo vyote vya kichama havitumiki. Kila apendaye anaibuka na kuropoka atakavyo. Mtazameni Nape Nnauye au Mwigulu Nchemba ayasemayo na ayafanyayo. Halafu ananyamaziwa tu. Taasisi gani hii!? Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
zamani sawa. Si sasa. Chama chetu sasa kina mkusanyiko wa watu wenye malengo tofauti. Wapo wasaka sifa na madaraka hata yasiyo rasmi. Wapo walamba miguu. Sasa,vitengo vyote vya kichama havitumiki. Kila apendaye anaibuka na kuropoka atakavyo. Mtazameni nape nnauye au mwigulu nchemba ayasemayo na ayafanyayo. Halafu ananyamaziwa tu. taasisi gani hii!? mzee tupatupa wa lumumba,dar es salaam