Recent content by KISHURO

  1. K

    Balozi Khamis Kagasheki kuburuzwa mahakamani adaiwa milioni 50 na Mhariri wa redio yake Kasibante FM

    Aliyekuwa mbunge wa Bukoba na kushindwa katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 anaendelea kupata misukosuko. Katika redio yake ya Kasibante hali si shwari, wanatimuana na kushikna uchawi. Soma barua hapo chini
  2. K

    Hivi nyumbani kwangu KAGERA kuna nini?

    Wewe ulipiga kura jimbo gani? Nani alishinda? Kagera hawachagui 'wanyamahanga'. Muulize masterwily alikwenda kugombea bukoba mjini akifikia guest. nani akuchague. fikra kuwa jimboni ni site tu ya kuchukulia ubunge haipo tena tz.
  3. K

    Facebook multi page/Group poster

    Cheki PM Mkuu
  4. K

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Kama Dr Magufuli anataka kuzika tofauti za kisiasa katika CCM na kuanza upya kujenga chama hana budi kuingiza wapinzani ndani ya CCM katika serikali yake.Watu kama kimbisa,sophia simba,Emmanuel nchimbi,Bashe nk hawana budi kuingizwa katika serikali hii mpya ili kuleta umoja katika chama. kwa...
  5. K

    Kisheria Mshindi wa Urais bara ataunda vipi serikali ya muungano bila wabunge wa Zanzibar?

    Kwani wapiga kura si ni wale wale? sababu zilizosababisha kufutwa za zanzibar si ni hizo hizo zinazofuta za muungano automatically? tujiongeze kidogo kujiuliza
  6. K

    Kisheria Mshindi wa Urais bara ataunda vipi serikali ya muungano bila wabunge wa Zanzibar?

    Wanasheria jitokeze hapa kudadavua hili suala. Kama NEC itatangaza mshindi wa urais wa Muungano ataunda vipi serikali bila wabunge wa zanzibar? Je Bunge la Muungano litaitishwa vipi na kuchagua spikika bila wabunge wa muungano kutoka zanzibar ambao wamefutwa na ZEC? Je mshindi aliyetangazwa na...
  7. K

    Ushauri: Vyama vya Upinzani vifutwe, kibaki CCM pekee kama chama dola

    Huyu hapa ni mgombea wa urais,hapa bado hajawa rais tazama ulinzi wa vyombo vya dolla
  8. K

    Nahitaji Domain name ya .CO.TZ

    ni kati ya sh 20,000 na 25,000 kunua tu. nunua kwa yatosha -https://yatosha.com/
  9. K

    Wilfred Lwakatare tayari ameshajihakikishia ubunge Bukoba Mjini

    Mgombea ubunge jimbo la Bukoba mjini kupitia CHADEMA/UKAWA Wilfred Lwakatare amemaliza kazi ,anasubiri tu kuidhinishwa rasmi Jumapili kulingana na hali ilivyo katika hilo jimbo. Sababu kubwa iliyofanya kagasheki apigwe mweleka ni mgigoro katika CCM ambapo wana CCM wenyewe wanasema mgombea wao...
  10. K

    Ubunge wa Mh. Kagasheki mashakani Bukoba Mjini

    Hali ni tete kwa sasa
  11. K

    Anayenunua kadi za kura Bukoba huyu hapa

    Anaitwa HAMIDU KOMUNGOMA(kushoto kwako) mkazi wa kashai,tayari amehojiwa jana na TAKUKURU . Nashangaa gazeti la mwananchi na takukuru kudai eti bado mtandao haufahamiki. tunazo video alizorekodiwa akiomba kununua kura kupiia mfumo wa kutaka kutoa mikopo,kazi inafanyika usiku SOMA HAPA CHINI...
  12. K

    Kagasheki umeyatamka haya kweli?

    Kagasheki akishinda ubunge mwaka huu basi tena. Asubuhi nimeleta uzi ukafutwa anaendesha kampeini za kibabe ,hawezi shinda. kuanzia wiki ijayo nitaleta
Back
Top Bottom