Kisheria Mshindi wa Urais bara ataunda vipi serikali ya muungano bila wabunge wa Zanzibar?

KISHURO

Member
Feb 23, 2015
80
42
Wanasheria jitokeze hapa kudadavua hili suala.

Kama NEC itatangaza mshindi wa urais wa Muungano ataunda vipi serikali bila wabunge wa zanzibar?
Je Bunge la Muungano litaitishwa vipi na kuchagua spikika bila wabunge wa muungano kutoka zanzibar ambao wamefutwa na ZEC?

Je mshindi aliyetangazwa na NEC atasubiri mpaka zanzibar warude uchaguzi hapo mwezi februari 2016?

Je nchi itakuwa chini ya nani,bila mawaziri nk.

Naomba kujua kutoka kwa magwiji wa sheria
 
Wanasheria jitokeze hapa kudadavua hili suala.

Kama NEC itatangaza mshindi wa urais wa Muungano ataunda vipi serikali bila wabunge wa zanzibar?
Je Bunge la Muungano litaitishwa vipi na kuchagua spikika bila wabunge wa muungano kutoka zanzibar ambao wamefutwa na ZEC?

Je mshindi aliyetangazwa na NEC atasubiri mpaka zanzibar warude uchaguzi hapo mwezi februari 2016?

Je nchi itakuwa chini ya nani,bila mawaziri nk.

Naomba kujua kutoka kwa magwiji wa sheria

Kwa mujibu wa ZEC ni kwamba wamefuta Kura za Urais na si wabunge..Rejea tamko lao!
 
Matokeo yaliyofutwa ni ya Rais wa Zanzibar, Balaza la wakilishi na Masheha. Matokeo ya Wabunge wa Zanzibar na Urais JMT hayajafutwa.
 
Wanasheria jitokeze hapa kudadavua hili suala.

Kama NEC itatangaza mshindi wa urais wa Muungano ataunda vipi serikali bila wabunge wa zanzibar?
Je Bunge la Muungano litaitishwa vipi na kuchagua spikika bila wabunge wa muungano kutoka zanzibar ambao wamefutwa na ZEC?

Je mshindi aliyetangazwa na NEC atasubiri mpaka zanzibar warude uchaguzi hapo mwezi februari 2016?

Je nchi itakuwa chini ya nani,bila mawaziri nk.

Naomba kujua kutoka kwa magwiji wa sheria


Naona giza mbele ya Safari ya mabao haya ya mikono ya Lumumba na muda utatupa Jibu.
 
Wanasheria jitokeze hapa kudadavua hili suala.

Kama NEC itatangaza mshindi wa urais wa Muungano ataunda vipi serikali bila wabunge wa zanzibar?
Je Bunge la Muungano litaitishwa vipi na kuchagua spikika bila wabunge wa muungano kutoka zanzibar ambao wamefutwa na ZEC?

Je mshindi aliyetangazwa na NEC atasubiri mpaka zanzibar warude uchaguzi hapo mwezi februari 2016?

Je nchi itakuwa chini ya nani,bila mawaziri nk.

Naomba kujua kutoka kwa magwiji wa sheria

Sijui Katiba yao inasemaji kuhusu hili?
 
Matokeo yaliyofutwa ni ya Rais wa Zanzibar, Balaza la wakilishi na Masheha. Matokeo ya Wabunge wa Zanzibar na Urais JMT hayajafutwa.

Kwani wapiga kura si ni wale wale? sababu zilizosababisha kufutwa za zanzibar si ni hizo hizo zinazofuta za muungano automatically? tujiongeze kidogo kujiuliza
 
Matokeo yaliyofutwa ni ya Rais wa Zanzibar, Balaza la wakilishi na Masheha. Matokeo ya Wabunge wa Zanzibar na Urais JMT hayajafutwa.

Matokeo as per the ZEC chairman uchaguzi Zanzibar umefutwa - uchaguzi bila specifics. Full stop. Hizo specifics ni zako acha kudanganya watu kama huelewi nyamaza.

Ni hivi hapa ili kuweza kuwa na busara ikiwa tunahitaji muungano na bara inabidi na bara nako ufutwe kwa kuwa Rais amepigiwa kura na watu wote hadi Zanzibar. Huwezi kuwa na Rais wa Muungano bila kuwa na wa visiwani.
 
Back
Top Bottom