KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,850
- 4,850
Nataka niulize, hivi Kagera tuna mizimu ya aina gani? Jimbo langu ni moja ya majimbo masikini sana Tanzania... na mwaka huu cha ajabu tumemrudisha Balozi Kamala bungeni... Assumpta Mshama aliboronga sana tena sanaaaa, ila cha kushangaza mbadala wake Amerudi yuleyule..
Chadema kwanini hamkua serious na hili jimbo? Haya, kule Bukoba Mjini amerudi Lwakatare yuleyule. Kagasheki ni mmoja wa mawaziri wabovu awamu ya nne ila alikua mmoja wa wabunge wazuri sana..
Tibaijuka nae karudi tena, Mwijage nae waziri mzuri mbunge mbovu. 2025 iwe mwisho wabunge kujirudia rudia. Mnatufanya shamba la bibi...
Naweka azma, 2025 naenda kuichukua NKENGE iwe kwa ADC, HATA CCK, LAZIMA HAYO MAJIMBO YARUDI KWA WAZALENDO
Chadema kwanini hamkua serious na hili jimbo? Haya, kule Bukoba Mjini amerudi Lwakatare yuleyule. Kagasheki ni mmoja wa mawaziri wabovu awamu ya nne ila alikua mmoja wa wabunge wazuri sana..
Tibaijuka nae karudi tena, Mwijage nae waziri mzuri mbunge mbovu. 2025 iwe mwisho wabunge kujirudia rudia. Mnatufanya shamba la bibi...
Naweka azma, 2025 naenda kuichukua NKENGE iwe kwa ADC, HATA CCK, LAZIMA HAYO MAJIMBO YARUDI KWA WAZALENDO